Mhe.freeman Mbowe amesahau maneno yake haya aliyo yasema mwaka 2010. maneno yenyewe ni haya nanukuu. '''MABADILIKO YA KWELI KATIKA TAIFA HAYAWEZI KULETWA NA WATU WALEWALE, WA CHAMA KILE KILE, WENYE SELA ZILE ZILE, WAKIENDELEZA YALE YALE, ETI KWA ARI ZAIDI NGUVU ZAIDI NA KASI ZAIDI KWA FALSAFA YA CHUKUA CHAKO MAPEMA YAANI CCM. KWA TANZANIA YENYE NEEMA HAIWEZEKANI''. mwisho wa kunukuu. Sasa ukimsikia Mbowe huyo huyo mwaka huu amemsifia rais Kikwete kuwa haja pata kuona raisi mzuri kama Kikwete kwa maendeleo ya serikali yake hapa Mbowe amesahau alicho wahi kusema. Namuomba awe ana kumbuka anaya yaongea ili kujua anayo simamia.
chanzo cha habari ni ILANI YA CHADEMA KTK UCHAGUZI MKUU MWAKA 2010.
chanzo cha habari ni ILANI YA CHADEMA KTK UCHAGUZI MKUU MWAKA 2010.