Hata mimi aisee...clouds imekuwa too much! Kamari siku nzima!
Japo wenyewe hawataki waitwe wanachezesha kamari...kuna siku mshindi alisema nashukuru kushinda hii kamari, walimsahihisha fasta.
Yani buku buku zetu zinatafutwa kwa kila namna!! Yakimaliza maredio sijui wataibuka wakina nani!
Hiyo ni kutokana na wewe unavyotumia line yako ndio wanakupangia vifurushi.
Mimi Wife anapata kama huyo ila mimi gb 1 lazima niwe na elfu 3...tigo hao hao!!
Hii nayo kero nyingine...mtu anaokota kipande cha jiwe anaanza kugonga...hivi vile vikengele vya nje ya mageti vya kubonyeza vilipotelea wapi? Au vipi sehemu maalum!
Tatizo sio kama mtu ana gari au hana...mimi nazungumzia huo utaratibu wa wengi ulivyo, binafsi sipigi honi nikiwa nje ya geti, siwezi kuleta usumbufu kwa majirani sababu naingia kwangu.
Habari Wakuu!
Kuna hii tabia ya Watu wanaoishi katika Nyumba zenye mageti, pindi wanapokuwa wanarudi majumbani mwao kuanza kupiga honi (wakati mwingine mfululizo) ili wafunguliwe mageti, hasa hizi nyumba ambazo mageti yake hufunguliwa na Mmojawapo wa mwanafamilia na sio Mlinzi.
Hivi kuna...
Nilijiunga kifurushi kama chako kwa 20k, mtandao huo huo, ilikuwa tarehe 1, leo nina gb 4 zinakimbilia gb3!!
Una Dk800 Mitandao yote+ Dk700 LONGA NAE+GB10+SMS500 kwa Siku30@20000Tsh. (VAT 3050.85Tsh, thamani yake 16949.15Tsh). Piga *102*00# kuangalia salio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.