Jopo la nini wakati tunaelekea kwy uchaguzi nchi ikiwa gizani?hayo maendeleo ya viwanda na uchumi wa mtu mmoja mmoja yatakujaje?kwa elimu yangu ya ngumbale niliyoipata siwezi kunpa kura yangu mgombea yeyote toka CCM!ngoja wengine nao wapewe nafasi,miaka nenda miaka rudi matatizo yale...
Kipindi kama hiki,umeme ni shida je uchaguzi ukishapita itakuaje?there is no way ukamconvince mtu mwenye uelewa kamili kupigia kura ccm!maeneo mengi ya Morogoro hakuna umeme toka jana mpaka sasa
Wachukueni watoto zenu na family zenu ndio mkaanamane nao,sio mnawalaghai kwa kuwapa vijisenti vijana kutoka family maskini na wasio na uelewa mwisho wa siku wanapata vipigo kutoka kwa wananchi huku nyie familia zenu na nyie wenyewe mkiwa salama
Ni kweli kabisa,hana jipya,ila tumbili huyu huyu ndie aliyeleta ukweli mpaka kusababisha baadhi ya mawaziri kuanguka!endelea kujitia ujinga na ubaki na ujinga wako,Kafulila sio mtu wa kupuuzwa juu ya kauli zake,labda uwe usie na tafakuri
. A very wise words toka kwa Mzee aliyekua na hekima na uelewa wa hali ya juu,wazee wa namna hii wamebaki wachache sana kwa sasa,Mwandosya Mark ni mmoja wao!
Inawezekana ukosefu wa elime au ukosefu wa kutojikomboa kifikra ndio unaosababisha uandike hivi na kujiona uko sahihi!hivi unajua kua serikali imeanza kukusanya kodi kupitia hizo betting na wame target billions of money kwa mwaka?na hii si Tanzania tu ni nchi nyingi duniani,tena Tanzania ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.