0123456789
Member
- Jan 1, 2014
- 68
- 8
hivi sheria ya uchaguzi inasemaje kama mgombea mwenza akifariki.je uchaguzi utasogezwa mbele
R.I.P pumzika kwa amani kamanda nitakukumbuka kwa maneno yako ya kuwa ujawahi kuwa ccm maisha yako yote kamanda
Patrick BalisidyaPatrick Basilidya
Tukimpa RIP Mzee Makaidi tukumbuke kuwa alikuwa na umri wa miaka 74!
Umri ambao hauruhusu mikiki mingi na mishtuko.
Wazee wenzake kina Ndesamburo na Cheyo wanaongea neno moja mwaka mzima halafu wanakula bedrest.
Kina Kingunge wazumgusheni nchi nzima bila ushauri wa madaktari na matokeo yake yatakuwa dhahiri.
Tuandalie makao mkuu safar salama R I P!!!
Tuandalie makao mkuu safar salama R I P!!!
Naye kafa?!Patrick Balisidya.
RIP mzee.
His 60th BD was last year, must be approaching 61.Mzee Mkapa ana umri gani?
His 60th BD was last year, must be approaching 61.