Dah inauma sana man wangu sina comment bcoz nilikumbwa nikawachukia mno wadada but mim naamin nawe pia amin mapenz yapo na kila mtu anaubavu wake iko siku utafika sehemu husika ufurah na ufaidi ladha ya penzi........................pole sana
Wadau naomba kujuzwa nn kinaendelea kuhusiana na huyu Mtanzania mwenzetu
Je alitumwa au alisingiziwa au nn kinaendelea
naomba kuwasilisha akhsante natanguliza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.