Naona wewe ndiye unayeyachanganya. Mseto ni mseto kwa lugha ya kawaida. Lakini mseto katika hali ya Zenj kweli unachanganya.
CUF wanatamani mseto wa aina fulani.
CCM(Bara) wanatamani mseto wa aina fulani pia.
CCM (Zanzibar ) nao pia wanatamani mseto wa aina fulani
Lakini Baraza la...
Pole Swahib na usinchekshe!. Panafungwa hapo kwa Raju- Mwezi huo Babu!!!!
Sasa nione Sabri nikupe introduction Machimboni- Dambwe. Lakini jifunze kucheza Dhuna, karata- wahedi wa stini, mrambo au chanis, na ukiwa unavaa shuka(kule kwenu mnaita msuri) basi rasmi!!! na haswa ukiweka na...
Mambo ya ATM ni ya kileo.,Lakini cha muhimu ni kuifikisha "condom" popote kule. Hata Kijijini mtu ukiitaka uweze kuinunua pale( tena kwa bei nafuu)- Dukani tu pale kwa Mpemba.
Punguza ghadhabu Mzee. Wapemba ni Wa-Zanzibari . sasa kama babu yake imetokea kuwa ni mtu mwenye asili ya Oman kuna dhambi gani kujitapa kwa asili hiyo. Huo Uafrika unaosema ni upi? U-Naigeria umo humo?
Junius wewe unapenda sana historia, sawa. Sasa kama Mzee Shamte -huyo ni Mzee wa Kishirazi.Yeye ni sawa sawa na Mzee Thabit Kombo na Mzee Sheikh Daud Mahmoud. Sasa kama unasema Mzee Shamte ana kosa pia useme Mzee Thabit Kombo na Mzee Daud Mahmoud pia walikuwa na makosa.
Hata Bara (Dar) ndio wamejaa zaidi. wacha kupakazia Zenj. Walioko Zenj hufanya yao kwa nidhamu lakini walioko Dar hawana nichamu ndio hicho choo na karaha..
Tuna tatizo sisi waafrika tunavyochukulia ndoa (heshima za kindoa), na tendo la ndoa kama ni mchezo. Sasa mchezo ni mchezo. Unaweza ukacheza tu kwa uwazi na mwanandoa wako- Jee ndoa itachosha hapo? Mbona wenzetu wazungu haichoshi?
Bara hamhusiki. Yapo kila pembe ya Unguja na Pemba Tena yapo katika eneo la Bahari Kuu ( ambalo ni Economic exlusive zone ya Zanzibar siyo Tanganyika) Upo hapo.
Ubandia unakuja kwa sababu Waingereza waliichukua Zanzibar kama ni Protectorate kwa Wafalme(Masultani) na wakairejesha kwa Wafalme (Masultani) 1963 siyo kwa Wazanzibari . Huo ni uhuru ubandia Hapo juu nilikueleza kuwa Jemshid kama ni mtu binafsi ni Mzanzibari lakini kama Sultani basi ni Sultani.
Wewe kama kungekuwa na uwezo zaidi ningekwambia mfufue Mwalimu Nyerere (Kumradhi hapa) halafu akueleze kwanini Tanganyika iin'gan'ganie Zanzibar. Mpaka kati ya Zanzibar na Tanganyika kama unakuwepo? Tanganyika haina amani , haina uchumi, haina ustawi wa jamii. Ni Tanganyika ambayo inahiitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.