Hiyo inaeleweka,mimi nazungumzia mazingiraya kawaida,kuna umuhimu wa kumpa kijana mwenye mkopo 100% hela ya kulipia kodi ya chumba ,hela ya umemem,hela ya maji,kuongezea hela ya matumizi etc?
Kama unaoa msukuma,inabidi uwe na bajeti ya kupanga nyumba kubwa,usishange baba mkwe na mama mkwe wanakuja kukusalimia na wanakaribisha na majirani kama kumi kuwasindikiza,wakifika kama msosi si haba watakaa hata wiki 2,wanaondoka kwa muda na baada ya siku nane unapokea ugeni tena,wako radhi...
Wakuu,
Nina mdogo wangu yupo chuo, yeye alipata mkopo 100% lakini kila mwezi anaomba wazazi hela ya matumizi, pia kodi ya chumba alikopanga ikiisha anaomba na kkulipiwa.
Je ni kweli mkopo elimu ya juu 100% hazimtoshi mwana chuo kujilipia kodi na kukidhi mahitaji yake yote, angalau awe anaomba...
Katoro kuna biashara kubwa sana ya vipodozi,cha ajabu hata Mwanza na Dar wanafuata vipodozi Katoro wakati hakuna viwanda,bidha nyingi zilizokwepwa ushuru kwa 100% zinapatikana Katoro kwa bei poa sana,iwe vipodozi,urembo viroba etc na ndicho inafanya mji wa Katoro kukua kwa kasi sana wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.