Search results

  1. U

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha ulezi

    Habari wana JF, Napenda kujua zaidi kwa wakulima wanaofahamu kilimo cha ulezi namna ya kuandaa shamba, upandaji wake pia mavuno wastani kwa heka moja ni kiasi gani. NB: Wanaojua tu au aliewahi kushuhudia kilimo cha ulezi na mavuno yake.
  2. U

    Crown athlete hybrid 2013

    Twende mbele turudi nyuma gari tamu bhana afu crown tajwa apo juu unyama saana ata crown athlete G
  3. U

    Naomba ushauri kwa mwenye uzoefu wa kutumia Sound Bar

    Habari wana jamii forum Kuna tofauti gani hasa kati ya SOUND BAR na SUBWOOFER kweny swala la kuangalia MOVIE, kusikiliza MUSIC au kucheza GAME. Maana nahitaji sound bar ila najiuliza kipi spesho inacho hadi kuwa na bei kubwa na kuhusu mkito wake ukoje. Chakwanza nilichoipenda ni kuhusu...
Back
Top Bottom