Habari wana JF,
Napenda kujua zaidi kwa wakulima wanaofahamu kilimo cha ulezi namna ya kuandaa shamba, upandaji wake pia mavuno wastani kwa heka moja ni kiasi gani.
NB: Wanaojua tu au aliewahi kushuhudia kilimo cha ulezi na mavuno yake.
Habari wana jamii forum
Kuna tofauti gani hasa kati ya SOUND BAR na SUBWOOFER kweny swala la kuangalia MOVIE, kusikiliza MUSIC au kucheza GAME.
Maana nahitaji sound bar ila najiuliza kipi spesho inacho hadi kuwa na bei kubwa na kuhusu mkito wake ukoje.
Chakwanza nilichoipenda ni kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.