Wakuu nimekutana na hii video katika mitandao ya kijamii na kudaiwa kuwa ni ya mtawala wa Mongolia (Black Khan) alipoitembelea China mwaka 1440 katika utawala wa Ming (Ming Dynasty).
Je, uhalisia...
Samia anasema tuna undugu na Waarabu; lakini ni tangu lini tumekuwa na undugu na Waarabu? Kwahiyo hapa anataka kusema kwamba amewapa waarabu wawekeze kwasababu ni ndugu zake!? Kwanini Rais wa hii...
Nataka kufahamu uhalisia wa hii video ambayo inasemekana hii ni athari inayotokana na vita ya Israel na Iran na hapa inaonesha ni Israel baada ya kushambuliw na Iran ni kwel uhalisia hii video au...
Wanaukumbi.
Baraza la ma askofu TEC linaomba Msaada lisaidiwe na serikali.
Maombi yakikataliwa wananua.
Hali tete leo hii ndiyo wanamtambua Rais Samia wanaomba msaada, Rais Samia achana na...
Kwa siku za hivi karibuni kumwepo na jalada la kipande cha gazeti la mwananchi ambacho kinasomeka kuwa watazania wanaongoza kwa ujinga afrika
Ufuatiliji unaonesha kuwa Kichwa hicho cha Habari ni...
Kuna hii video inamuonyesha moja ya mtu ambaye inasemekana ni Askari polisi akilia sana na kwa uchungu baada ya mke wake kuuwawa na watu wasiojulikana.
Na moja ya kauli yake anasema ninawalinda...
Jamii Forums naomba mfanye Check ya hii video kubaini ni ya zamani au ya hivi karibuni. Binafsi niliona hii video kwenye post za wazungu kusoma comments nikaona wanasema video ni ya Zamani sana...
Kupitia mitandao ya kijamii, hususan Facebook, kumekuwepo na ukurasa uliochapisha video inayowahamasisha wanaume kutofanya mazoezi, ikidai kuwa kufanya mazoezi husababisha watu kutokuwa na afya...
Wakuu
Nimekutana na hii taarifa huko X ikiambatana na huu ujumbe:
Kumbe maria alikua akiwauza dada zetu huko ughaibuni Ushahidi mzito umeibuka ukionyesha uhusika wa Maria Sarungi katika mafaili...
Wakuu
Nimekutana na hii taarifa huko Facebook kwa huyu mdao Kyela Tz anaeleza kuwa hii ni picha ya wagonjwa katika hospital ya wilaya ya Kyela wakiwa wamelala chini.
Kama alivyotoa tamko Jenerali Muhoozi Kabobi atafutwe apatikane akiwa hai au amekufa
Ila nimegundua ukishaitwa Polisi kidogo unakuwa hamnazo yaani zinafyatuka, hapo wakiulizwa mnamtafuta kwa kazi...
Wakuu nimekutana na hii Post huko Facebook ikiwa na ujumbe huu pamoja na picha.
Sasa mbona hii ajali hamtangazi na imetokea toka jana jioni!
Tuseme mpaka sisi...
Wakuu nimekutana na hii taarifa kutoka kwa baadhi ya watumiaji wa Instagram wakieleza wawili hao wamekutana jana ikiwa ni siku mbili kuelekea uchaguzi mkuu Uganda.
Je ni kweli?
Wakuu hii video inatembea sana mtandaoni kuwa Mwanaume aliyemwokoa mwanamke kutoka kwenye ajali ya gari sasa anakabiliwa na mashtaka ya unyanyasaji wa kingono. Je, mtu anawezaje kumshitaki mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.