KERO Threads

REJESHO HURU
KERO Responded 
Niende kwenye hoja moja kwa moja kesho shule zinafungwa kwa ajiri ya mapumziko ya kumaliza mhula wa kwanza wa masomo kwa mwaka 2023, wazazi tunaitaji watoto wetu likizo waje wapumzike hatuitaji...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
JanguKamaJangu
KERO Responded 
Taarifa Jamii Forums hali ni mbaya kwenye Stendi ya Mabasi makubwa iliyopo Mbezi Luis maarufu kama Mbezi Mwisho, hakuna huduma ya maji kwa muda wa siku tatu sasa. Kuanzia juzi Machi 26, 2023 hadi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
MTAZAMO
KERO Responded 
Wakuu, Hivi kweli tumeshindwa kutunza huu uwanja? Usafi wa vyoo na maeneo mengine imekuwa tatizo sugu lakini aibu kubwa zaidi ni sasa hata pitch imetushinda. Ni aibu National Stadium nyasi...
18 Reactions
78 Replies
7K Views
Wanafunzi wa Diploma, chuo cha Muhimbili-COHAS kilichopo Dar es Salaam kuzuiwa kufanya mitihani yao kisa bima za afya. Kumekuwepo na malalamiko ya wanafunzi kulalamika kwa kile kinachoendelea...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Just Distinctions
KERO Responded 
Habari za wakati huu, Hili suala la usaili kufanyika Dodoma lizingatiwe tena na tena, sikatai lengo lilikuwa ni jema ila changamoto zimekuwa ni nyingi unakuta mtu anaitwa usaili wa kuandika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Nimepita maeneo ya Keko, kuanzia chuo cha Diplomasia kwenda Chang'ombe Mataa, kunajengwa barabara, ya mwendokasi. Lakini barabara ya kawaida sijaielewa, kwenda ni gari moja...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
The-unknown
KERO Responded 
Habari za muda huu wakubwa kwa wadogo. Hongereni kwa majukumu ya kila siku ya kujitafutia riziki. Niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujua ni kwanini national identity card iwe na expire...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
The Sheriff
KERO Responded 
Ni kipindi kirefu sasa kumekuwepo aina hii ya utapeli tulioubatiza jina la “TUMA KWA NAMBA HII”. Wapo waliofanikiwa kukwepa na wapo waliolizwa, na bado kuna wahanga watarajiwa. Haya yanatokea...
8 Reactions
36 Replies
5K Views
Erythrocyte
KERO Responded 
Hili soko ni Maarufu kama Mahakama ya ndizi , liko Mabibo , Mkoa wa Dar es Salaam , Ushuru unaopatikana kwenye soko hili kwa mwaka ni zaidi ya hela ya madafu Bil 1.2 Toa maoni yako ...
17 Reactions
87 Replies
9K Views
Wanajamvi salaam, kwa kipindi nmekuwa mtumiaji wa barabara ya nyerere road inayopita Tazara hasa pale flyover ,wakati wa usiku kumekuwa na changamoto kubwa ya kutofata utaratibu wa sheria...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Manyiri
KERO Responded 
Ni wiki ya Pili sasa hadi Leo Tarehe 13/02/2021 vifusi vilivyowekwa katika barabara ya Bonyokwa ya Segerea kuelekea Bonyokwa kwa Kichwa havijasawazishwa. Hii imekuwa kero kubwa kwa watumiaji wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ncha Kali
KERO Responded 
Mambo ya uchumi wa kati! Kwa hapa Bongo, kwa uzoefu wangu mdogo. Maeneo mengi ya umma hutoza 200 kwa huduma hiyo pendwa, na 500 kwa kuoga. Hii imekuwa tofauti katika stendi ya daladala Mbezi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
brazaj
KERO Responded 
Ushauri wa bure kwa serikali ya awamu hii. Tumbueni hawa Tanroads Biharamulo. Sanjali na hili yaweza kuwa busara kuifunga kabisa barabara ya Rusahunga Benaco na ku i declare impassable kupisha...
3 Reactions
52 Replies
8K Views
alexelias
KERO Responded 
Tumelizungumza sana hilo jambo la angalau barabara ile irekebishwe kwa kufukiwa mashimo makubwa lakini hakuna hatua yeyote inayochukuliwa na barabara imekuwa mbovu kupindukia! Ikumbukwe barabara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
barafuyamoto
KERO Responded 
Habari zenu. Kwa kweli nimeshangazwa sana ktk mabasi yaendayo haraka. Inakuwaje nakupa pesa yangu ya kutaka kupata tiketi, mfano nakupa 1000Tshs, unatakiwa unirudishie 350Tshs sababu nauli ni...
16 Reactions
88 Replies
8K Views
Binafsi nimekerwa sana na utoaji huduma wa hizi ofisi za usajili wa vizazi na vifo. Kuna kila dalili ya harufu ya rushwa ili uweze kupata huduma. Kipindi ofisi hizi zinaanzishwa walikuwa watoa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom