KERO Threads

Napenda kuwasilisha malalamiko yetu sisi wakazi wa maeneo ya jirani na Kiwanda cha Bakhresa Food Products Limited kilichopo Mwandege, Wilaya ya Mkuranga, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam...
0 Reactions
4 Replies
526 Views
Madalali wa magari jijini mwanza wanapaki magari ya biashara kwenye vituo vya dalala na kusababisha foleni barabarani. Daladala inabidi zipaki nje ya kituo kushusha au kupandisha abiria na...
0 Reactions
5 Replies
689 Views
Anonymous
KERO 
Habari za leo Mdau, naomba utusaidie kupaza sauti iwafikie taasisi ya Osha... Wanavyuo wa NIT, Ardhi na Chuo cha Maji 2024 tulilipia pesa 30,000 kwaajiri ya mafunzo semina ya Usalama mahala pa...
0 Reactions
1 Replies
253 Views
Anonymous
KERO 
Kuna uhaba wa mahakimu ktk mahakama hii kunakopelekea mrundikano wa mashauri na ulipuaji wa mashauri. Jaji Mkuu ingilia ktk hili kwa haraka kwani haki inayochelewa ndiyo inayopotea
0 Reactions
1 Replies
353 Views
Anonymous
KERO 
Sirari weighbridge upande mmoja haufanyi kazi huduma zimesimama inabdi gari linalotokea mpakani ulazimika kuzungunga had entrance ya kwenda mpaka kupima uzito yaani imekua kero sana na huduma...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Anonymous
KERO 
Pale eneo la Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) na karibu pia na ulipo Uwanja wa Benjamin Mkapa kuna magari makubwa yanaziba barabara na mbaya zaidi magari hayo yanageuzia kwenye geti la uwanja...
0 Reactions
0 Replies
246 Views
Leo nimeenda kwenye moja ya ATM za CRDB Bank nikiwa na nia ya kutoa fedha kiasi cha 200k+. baada ya majaribio kadhaa ya kujaribu kutoa kiasi hicho ambacho nilikuwa na uhakika ninacho kwenye...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Anonymous
KERO 
Baadhi ya Watu ambao wanajitambulisha kuwa wao ni Askari Polisi wakishirikiana na baadhi ya Mgambo, usiku wanapita katika maeneo ya wazi kama Viwanjani na kukamata Watu ambao watakuwa wamesimama...
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Kuna siku nilikutana na jamaa mmoja mfanyabiashara anasafiri sana nje, anasema alikutana na mzungu siku Moja akamwambia Tanzania pananuka. Yeye anasema aliona kama Yuko offended lakini alipata...
0 Reactions
2 Replies
330 Views
Anonymous
KERO 
Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, habari ya leo? Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza. Ningependa kujuzwa, hivi raia anapoidai serikali (halmashauri) inachukua muda gani kulipwa stahiki...
0 Reactions
1 Replies
335 Views
Anonymous
KERO 
Kutokea kijiji cha lungongole ifakara mkoan morogoro kuna hii barabara inatokea kilosa road kwenda mpaka kwenye kijiji cha kilama inaitwa mwiche road barabara hii inatumika pia na wakulima...
0 Reactions
5 Replies
550 Views
BigTall
KERO Responded 
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ni miongoni mwa Halmashauri kongwe nchini, lakini kwa miaka mingi kumekuwepo na changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara, hasa zile zilizo chini ya usimamizi...
0 Reactions
2 Replies
461 Views
Kila Ijumaa wazazi tunadaiwa shs 1,500 kama ada ya mtihani. Je walimu wanafanya haya kwa ruhusa ya Wizara kama examination policy? Mtoto asipoleta hela anapigwa. Tupelekane mahakamani na walimu...
10 Reactions
209 Replies
6K Views
Anonymous
KERO 
Mradi PMI Dhibiti Malaria mikoa ya Kusini Pwani, Lindi, Mtwara na Ruvuma kuna uonevu kwa iCCM providers kwa miezi mitano hawajaripwa na waliahidiwa kusaini mikataba ya kazi nalo bado hawajafanyia...
1 Reactions
2 Replies
210 Views
Anonymous
KERO 
Nilifika Babati kusubiri basi kwa ajili ya kuelekea mkoa fulani, wakati nipo pale nilihisi njaa, niliamua kutafuta sehemu mojawapo wanaopika pale hususan wanaokaanga chipsi ili nile. Nilipokelewa...
0 Reactions
5 Replies
445 Views
Ninapenda kutoa malalamiko kuhusu huduma duni niliyoshuhudia katika Hospitali ya Aga Khan Iringa. Nilimpeleka mke wangu siku ya Jumamosi majira ya saa 10:30 jioni. Tulipofika, tulikuta dada wa...
2 Reactions
2 Replies
374 Views
Ndugu wana jukwaa napenda kueleza kwa ufupi sana kusikitishwa kwangu na mfumo mbovu wa secretariat ya ajira yaani Ajira Portal. Ajira Portal wameweka utaratibu kwamba ili u qualify kuomba kazi ni...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Anonymous
KERO 
Wakazi wa Gongo la Mboto - Ulongoni B tunapata shida sana hasa ya kivuko cha watembea kwa miguu kinachovuka SGR kwa kuwekwa mbali mno. Hali hii inafanya wanafunzi na raia wengi kutumia kalavati...
0 Reactions
0 Replies
289 Views
Anonymous
KERO 
Katika jambo linalonishangaza ni kuwa mwaka huu 2025 mwezi wa nane Tanzania kama ilivyo Kenya na Uganda tunahost michuano ya CHAN na 2027 tunahost Afcon lakini jiji la Dar es Salaam kila kukicha...
1 Reactions
1 Replies
576 Views
Kwa heshima kubwa sana, napenda kutoa kilio hiki kama mzazi wa mtoto mdogo anayesoma darasa la nne katika Shule ya Victoria - Makumbusho. Kwa kweli moyo wangu unaniuma, na najikuta nikiwa na...
13 Reactions
97 Replies
4K Views
Back
Top Bottom