Habari za mchana wakubwa,
Moja kwa moja niende kwenye mada.Nahitaji toyota mark x namba yoyote ile hata A kikubwa iwe katika hali nzuri.Bajeti yangu 8million.
Asante na karibu kwa kuchangia kama...
Nataka landcruser v8 ya mwaka 2013 /14,diesel an auto budget dollar 85k,km unayo au unaconnection na mtu ambaye anayo nicheck hapa 0678224427,isiwe ya kusubiria
Nauza gari Nissan Primera rangi yake ni Maroun. Engine capacity ni 1990cc.
Fuel: petrol
Imported in 2012 from Japan ..
No accident history
Location.... Dar es salaam
Price.. 9 millions...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.tuliinunua kwa matumizi ya familia baadae tukaona tuisajili kama daladala.lengo la kuuza ni kwamba tunahitaji kuagiza nissan civilian hvyo tumefikiria kuuza...
bei ni mill 17 zimetumika miez 2 zipo katika hali nzur bei negotiable
zipo katika hali nzur
zipo dar ukonga banana
kwa picha whats app 0712505049
kwa maswali na maelezo 0714288996
Make Nissan
Model X-Trail
Price Tsh mil 11
Year Manufacture 2002
Fuel Petrol
Transmission Automatic
Body type Station wagon
Mileage 160000
Imeingia Tz ikiwa imetembea Km 120000 hivyo kwa Hapa Tz...
Nissan supplies only the best quality vehicles and this car is yet another example from their impressive fleet. This Nissan Navara 2008 comes with a Manual transmission system as well as other...
Habari za leo wana jamii, ninauza Nissan Note yangu ya blue (2005) kwa sh 7 Milioni. Gari ipo katika hali nzuri na imetembea kwa umbali wa km 71,000. Kwa mawasiliano nicheki kwa 0686477879
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.