Car4Sale Threads

Habari za mchana wakubwa, Moja kwa moja niende kwenye mada.Nahitaji toyota mark x namba yoyote ile hata A kikubwa iwe katika hali nzuri.Bajeti yangu 8million. Asante na karibu kwa kuchangia kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inuzwa nissan homy van daladala IPO katika hali nzuri Wasiliana 0626744668
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wanajf,nauza Suzuki escudo ya mwaka 96,mileage 205,000,Ina cc 1750,milango mitatu,pm kama unahitaji,bei 5m.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Make:BMW Model:5series Fuel:diesel Year:2014/2015 Colour:Alpine white Km:6255 Price:55,000 usd negotiable
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninauza gari hiyo ahsanteni!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nataka landcruser v8 ya mwaka 2013 /14,diesel an auto budget dollar 85k,km unayo au unaconnection na mtu ambaye anayo nicheck hapa 0678224427,isiwe ya kusubiria
0 Reactions
1 Replies
701 Views
Wadahu naita iyo gari namba D Bajeti mill 9 nakuendelea kulingana nagari litakavyo onekana nipo dar es salaam simu 0712690760 whatsapp tuma picha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza CRV Honda ya mwaka 1999, rangi ya dark blue. Ipo Arusha ni nzima ina insurance na road licence mpaka July.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza gari Nissan Primera rangi yake ni Maroun. Engine capacity ni 1990cc. Fuel: petrol Imported in 2012 from Japan .. No accident history Location.... Dar es salaam Price.. 9 millions...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.tuliinunua kwa matumizi ya familia baadae tukaona tuisajili kama daladala.lengo la kuuza ni kwamba tunahitaji kuagiza nissan civilian hvyo tumefikiria kuuza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mitsubish Rosa for Sale NEGOTIATION Call.0713669533 and 0713623575 For more picha whats app namba. 0713669533. Karibuni
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nissan Almera for sale for 4.8 m Specs 2003 yr Cc1700 Km110,000 5Doors Automatic In Good condition Contact me through 0659 594 994 or pm
0 Reactions
5 Replies
2K Views
appoh
Car4Sale 
bei ni mill 17 zimetumika miez 2 zipo katika hali nzur bei negotiable zipo katika hali nzur zipo dar ukonga banana kwa picha whats app 0712505049 kwa maswali na maelezo 0714288996
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Clarity
Car4Sale 
Ninauza gari tajwa hapo juu Bei;Tshs14,000,000 Ni ya Mwaka 2005 Pm tuelewane
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Make Nissan Model X-Trail Price Tsh mil 11 Year Manufacture 2002 Fuel Petrol Transmission Automatic Body type Station wagon Mileage 160000 Imeingia Tz ikiwa imetembea Km 120000 hivyo kwa Hapa Tz...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nissan X-trail for sale in excellent condition. TZS 7.5Millioni. More details for serious buyers call 0759344353. Good Luck
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nissan supplies only the best quality vehicles and this car is yet another example from their impressive fleet. This Nissan Navara 2008 comes with a Manual transmission system as well as other...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau nauza Nissan Patrol 4WD Station Wagon yenye hali nzuri sana iko sokoni kwa mil.28 tu!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
......
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za leo wana jamii, ninauza Nissan Note yangu ya blue (2005) kwa sh 7 Milioni. Gari ipo katika hali nzuri na imetembea kwa umbali wa km 71,000. Kwa mawasiliano nicheki kwa 0686477879
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Back
Top Bottom