1998 1999 2000 2001 2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016. Duh kweli gari bado mpya sana.
PAJERO GDI INAUZWA
KM 180,000/=( haijawahi chakachuliwa)
cc 2000
mwaka 1998
petrol
automatic transmission
millioni 8.5 tu
gari ni nzima , mpya sana haina tatizo yoyote unakuja na mafundi zako unayemwamini aje kuikagua gari sababu ya kuuza gari bei sawa na bure kwasababu nimenunua gari kubwa ya pickup ahsanteni napatikana dar es salaam 0655522433 karibuni
1998 1999 2000 2001 2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016. Duh kweli gari bado mpya sana.
showroom million 14 kwa 131998 1999 2000 2001 2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016. Duh kweli gari bado mpya sana.
Basi kaiweke show room.showroom million 14 kwa 13
My concern haikua kwenye bei bali ni kwenye "gari bado mpya sana"showroom million 14 kwa 13
ahsanteMy concern haikua kwenye bei bali ni kwenye "gari bado mpya sana"
Mi ninayo aina hii ya gari. Ukweli ni gari nzuri ila niliagiza mwenyewe na sidhani kama unaweza pata yenye mileage nzuri kwa bei hiyo. Mi ilifika hapa kwa 16million na ilikuwa na km 44,000. Sasa yako mileage ikoje? Je tyres zina hali gani? Show room magari siyo mazuri kama vile ungeagiza mwenyewe na ikitokea likawa zuri bei ni juu sana.showroom million 14 kwa 13
Dah GDI huwa naikubali sana.PAJERO GDI INAUZWA
KM 180,000/=( haijawahi chakachuliwa)
cc 2000
mwaka 1998
petrol
automatic transmission
millioni 8.5 tu
gari ni nzima , mpya sana haina tatizo yoyote unakuja na mafundi zako unayemwamini aje kuikagua gari sababu ya kuuza gari bei sawa na bure kwasababu nimenunua gari kubwa ya pickup ahsanteni napatikana dar es salaam 0655522433 karibuni
usiangalie mileage nikihamua nashusha angalia engine ya gari hio bei yenyewe ni bei sawa na bure kaka na kuhusu kitu bado mpya , gari haina service yoyote nikuweka mafuta nakupiga safaraMi ninayo aina hii ya gari. Ukweli ni gari nzuri ila niliagiza mwenyewe na sidhani kama unaweza pata yenye mileage nzuri kwa bei hiyo. Mi ilifika hapa kwa 16million na ilikuwa na km 44,000. Sasa yako mileage ikoje? Je tyres zina hali gani? Show room magari siyo mazuri kama vile ungeagiza mwenyewe na ikitokea likawa zuri bei ni juu sana.
gari nuksi sema watu wanaiogopa sanaDah GDI huwa naikubali sana.
Bei ni poa kama hakuna tatizo lolote uliloficha. Najua wakati mwingine mtu anaamua kubadili gari.usiangalie mileage nikihamua nashusha angalia engine ya gari hio bei yenyewe ni bei sawa na bure kaka na kuhusu kitu bado mpya , gari haina service yoyote nikuweka mafuta nakupiga safara
gari haina tatizo yoyote uptodate service new shocups unaweka mafuta unaanza safara yakoBei ni poa kama hakuna tatizo lolote uliloficha. Najua wakati mwingine mtu anaamua kubadili gari.
Poa kiongozigari haina tatizo yoyote uptodate service new shocups unaweka mafuta unaanza safara yako
Nasikia shida yake kubwa ni spea... ngumu kupatikana kwa hapa Bongo.gari nuksi sema watu wanaiogopa sana