Car4Sale Nauza gari "Toyota Voltz"

mozilla

JF-Expert Member
Mar 28, 2013
704
1,003
Habari zenu wakuu?
Nauza gari aina ya Toyota Voltz
Rangi ya Marun
Haina tatizo lolote
Haidaiwi chochote
12milion
Note : gari ipo dsm
Contacts/whatsap 0714 521128
For pictures see the attachment below
2eff096589fcf76317befd5f36922ed1.jpg
 
864d77c3c507e7e0ac3b63e1e591236b.jpg
0b346db8fa598d88f31e6e242b302a4d.jpg
9a865e76f0ae97b160e5bbc853f91f87.jpg
e0e66ec148489ab80c6fd3933393e6a9.jpg


PAJERO GDI INAUZWA
KM 180,000/=( haijawahi chakachuliwa)
cc 2000
mwaka 1998
petrol
automatic transmission
millioni 8.5 tu
gari ni nzima , mpya sana haina tatizo yoyote unakuja na mafundi zako unayemwamini aje kuikagua gari sababu ya kuuza gari bei sawa na bure kwasababu nimenunua gari kubwa ya pickup ahsanteni napatikana dar es salaam 0655522433 karibuni
 
864d77c3c507e7e0ac3b63e1e591236b.jpg
0b346db8fa598d88f31e6e242b302a4d.jpg
9a865e76f0ae97b160e5bbc853f91f87.jpg
e0e66ec148489ab80c6fd3933393e6a9.jpg


PAJERO GDI INAUZWA
KM 180,000/=( haijawahi chakachuliwa)
cc 2000
mwaka 1998
petrol
automatic transmission
millioni 8.5 tu
gari ni nzima , mpya sana haina tatizo yoyote unakuja na mafundi zako unayemwamini aje kuikagua gari sababu ya kuuza gari bei sawa na bure kwasababu nimenunua gari kubwa ya pickup ahsanteni napatikana dar es salaam 0655522433 karibuni
1998 1999 2000 2001 2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016. Duh kweli gari bado mpya sana.
 
showroom million 14 kwa 13
Mi ninayo aina hii ya gari. Ukweli ni gari nzuri ila niliagiza mwenyewe na sidhani kama unaweza pata yenye mileage nzuri kwa bei hiyo. Mi ilifika hapa kwa 16million na ilikuwa na km 44,000. Sasa yako mileage ikoje? Je tyres zina hali gani? Show room magari siyo mazuri kama vile ungeagiza mwenyewe na ikitokea likawa zuri bei ni juu sana.
 
PAJERO GDI INAUZWA
KM 180,000/=( haijawahi chakachuliwa)
cc 2000
mwaka 1998
petrol
automatic transmission
millioni 8.5 tu
gari ni nzima , mpya sana haina tatizo yoyote unakuja na mafundi zako unayemwamini aje kuikagua gari sababu ya kuuza gari bei sawa na bure kwasababu nimenunua gari kubwa ya pickup ahsanteni napatikana dar es salaam 0655522433 karibuni
Dah GDI huwa naikubali sana.
 
Mi ninayo aina hii ya gari. Ukweli ni gari nzuri ila niliagiza mwenyewe na sidhani kama unaweza pata yenye mileage nzuri kwa bei hiyo. Mi ilifika hapa kwa 16million na ilikuwa na km 44,000. Sasa yako mileage ikoje? Je tyres zina hali gani? Show room magari siyo mazuri kama vile ungeagiza mwenyewe na ikitokea likawa zuri bei ni juu sana.
usiangalie mileage nikihamua nashusha angalia engine ya gari hio bei yenyewe ni bei sawa na bure kaka na kuhusu kitu bado mpya , gari haina service yoyote nikuweka mafuta nakupiga safara
3f3b17d89528d993d20cb8e11a3b67b1.jpg
cc8ca7bbba170e31d87599f578f1eb5c.jpg
 
usiangalie mileage nikihamua nashusha angalia engine ya gari hio bei yenyewe ni bei sawa na bure kaka na kuhusu kitu bado mpya , gari haina service yoyote nikuweka mafuta nakupiga safara
3f3b17d89528d993d20cb8e11a3b67b1.jpg
cc8ca7bbba170e31d87599f578f1eb5c.jpg
Bei ni poa kama hakuna tatizo lolote uliloficha. Najua wakati mwingine mtu anaamua kubadili gari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom