Uchumi wa Magufuli: Precision Air Yapumulia Machine. Yapunguza Wafanyakazi 136!

Uchumi wa Magufuli: Precision Air Yapumulia Machine. Yapunguza Wafanyakazi 136!

Hii inatafsiri kwenye mapato ya serikali,ukiona makampuni yanapunguza wafanyakazi,ujue mapato serikalini yanapungua(PAYE---kodi ya mishahara)

Ukiona biashara zinapungua,jua hata TRA mapato yanapungua,ukiona bar hazina watu,jua kampuni za bia haziuzi bia, na kama haziuzi basi TRA hawapati kodi

Unaweza kujifanya mjuaji ukasema unanyoosha wananchi kumbe "unajinyoosha mwenyewe" hao wafanyakazi wa serikali unawalipa kutokana na kodi unayokusanya mitaani,lakini umezungukwa na kundi la watu wanaokuimbia "wanyooshe" bila kujua kwamba mwisho wa siku ukishindwa kuendesha serikali haohao watakugeuka

Serikali imeshindwa kuajiri,haina pesa,hata wale watu binafsi walioajiri,inawawekea mazingira ya kuwafukuza kazi watanzania,
umeongea jambo la msingi sana.
 
..pasco hujipendii...we unahoji uchumi!!!!umesahau kuna watu wasiojulikanall....waandishi wa kibongo mnaohoji mambo ya hovyo ya serikali hii hamsikilizwi....sana sana mnafungiwa kama mwanahalisi....ama mnavamiwa na bashite.....
 
Kwa mwenye akili inayofanya kazi sawa sawa akishinda njaa siku mbili hakimbilii kulaumu kwa sababu lawama hazitampa chakula..atafikiria kutafuta kibarua hata cha kufagia ili mkono uende kinywani na hiyo ndiyo kanuni kuu ya kujenga mfumo imara wa uchumi..W O R K!!
ukipata kibarua atakulipa nani?
 
f743a62495ab1941ee776751aca0ea8c.jpg
 
Mkuu na bado mmebakia mitandaoni tu, na bado, mpaka mseme pooo!
Mimi huku pori nasubir mnvua nilime, kodi sumbufu za mazao zimeondelewa.

Wewe kaa mjini tafuta pesa ya kifurushi na ya kungarishia viatu na gazeti kwapani
unalima umuuzie nani? au utakula ugali hizo gunia mia?
 
Pesa za bure zimekatwa lazima wengi waathirike hilo wala sio la ajabu, kila mahali kwa nafasi yake pameguswa.
 
Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
Watu mmezoea uchumi wa uongo ndio maana mnalalamika. Hiyo Precision tangu CEO Mkenya awapige, haijabaki salama na jitihada za kuhakikisha kuwa ATC haifufuki kwa Serikali kununua share zimegonga mwamba.

Hakuna namna, lazima ife tu.
 
Watanzania wengi ni mazuzu bado mnaishi maisha ya kukariri. Kama wote tungelikuwa tunalifikiri kwa kutegemea ubongo wa mtu mmoja basi tusingefika tulipofika leo. Kwa hiyo unataka kutuambia kupungua kwa idadi ya watu ni jibu la kuporomoka kwa uchumi?
 
Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
Mkuu Paskal Magufuri kabomoa nyumba zenye nyufa,kachimba msingi upya,process ya kujenga hadi kumaliza itachukua muda,na ndio hicho kilichopo sasa hivi.
Watu 1000 waliokuwa wana panda ndege kati yao labda 600 walikuwa wanafaidika na hali ya wakati huo.
Lakini Mh raisi Magu anataka wapanda ndege angalau wapande hadi milioni kutoka elfu mmoja.
Na ili wapande ndio hizo ondoa mafisadi papa,jenga viwanda vya kumwaga,jenga uchumi wa kati hayo yote Paskali yatawezekana kabla 2020.
 
Bado tutajua tu, wewe subiri tutaendelea kutizama, yetu macho , Mungu atujalie yamkini akatenda miujiza tukaepuka mkasa huu
 
mbona bado mkuu...fastjet lazima wapunguze safari na wataacha kwenda atcl wanapoenda,precision wataiua kabisa within 2 years tutaelewa nini maana ya wimbo wa TOT.....tutaisoma namba
Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
 
Kama hii mijadala humu jf inaakisi fikra za watz tunaitaji kipigo kitakatifu ili tukae sawa naamini Kuna smart people they will figure it out ila niwakumbushe regardless if you are in bad situation it can get worse
 
Back
Top Bottom