Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,557
Tunavumilia tu kama wapenzi wa Asernal wanavyomvumilia Wenger.sasa si umwambie magufuli mjitoe kwenye uanachama wa UN
Tunavumilia tu kama wapenzi wa Asernal wanavyomvumilia Wenger.sasa si umwambie magufuli mjitoe kwenye uanachama wa UN
Wale diaspora wanaojielewa sio wakina Nyani Ngabu ambao wamesha adhirika na harufu za vizeediaspora ndo wamechanga hela nyingi wewe
Miaka 5 mingi sana kwa huu mwendoWenzake wako UN huko kupanga mipango ya maana yeye kazi kutafuta majukwaa ya kupiga vijembe wapinzani. Watanzania tumekula hasara kwa miaka mitano.
Suma JKT, hii ni staili ya trumpMhesh Rais Magufuli ameagiza JWTZ kuanza ujenzi wa ukuta kuzunguka maeneo ya machimbo ya Tanzanite maramoja.
Aidha ameagiza kuwa solo la tanzanite litakuwa Simanjiro.
Kwahiyo?Wananchi wanalalamika na raisi analalamika.
Lissu ndiyo kitu gani hicho?Huku mtaani habari ni Lissu tu, raia hawajui hata kama tunaye Rais nchi hii
Basi oneni hata mazuri ya huyu jamaa. Halafu mtambue Mungu akimweka hai atakuwepo Magogoni au Chamwino hadi 2025Tunasubiri tamko la leo maana nchi inaendeshwa kwa matamko
umechoka na nani? jaribu kujiajiri inalipaTushachoka sie Na Bara Bara tunataka ajira
Magufuli: "Adui yetu mkubwa ni maendeleo sio vyama"
Hapa kachapia au kamaanisha?
Mbona kazi?