Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka. Tena kibaya zaidi Rais wa Norway...
15 Reactions
137 Replies
3K Views
Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea...
8 Reactions
48 Replies
2K Views
Rais samia kwanini pamoja na ziara zote huko hapewi kipaumbele kama Ruto? Ukiangalia jinsi Ruto alivyopokelewa kwa heshima marekani utashangaa Ruto kapokelewa kwa heshima sana, vyombo vyote vya...
9 Reactions
45 Replies
623 Views
Wakuu, kwema. Ifike mahala tuseme riverside sahivi ndio trending kwa dada poa hapa. Mi sina baya nao, wanakuaga na msaada muda mwingine. Imagine mbele ya Landmark hotel, mbele ya "sheli" ya...
3 Reactions
6 Replies
45 Views
MAREKANI: Rais wa zamani wa Marekani, ametoa madai dhidi ya Rais Joe Biden kuwa aliwaagiza Majasusi wa FBI kumuua kwa Risasi wakati walivamia makazi yake na kufanya upekuzi ulioibua nyaraka za...
3 Reactions
6 Replies
549 Views
Tumsifu Yesu Kristu........ Jamani mpo na maisha yanaendaje hebu tukumbushane yale maisha wakati ule tupo kitaluni kule seminarini, mambo ya masifu...
15 Reactions
500 Replies
80K Views
“Helikopta ya parade la ubingwa itaanza safari yake majira ya saa nne asubuhi ikiwa imebeba kombe, itapita maeneo mbalimbali jiji la Dar Es Salaam. Tumempa Rubani maelekezo kuna maeneo akifika...
0 Reactions
20 Replies
247 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
519K Replies
30M Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
103 Reactions
221K Replies
17M Views
BEFORE I GO TO SLEEP. Christine anapoamka asubuhi, anashangaa yupo mahali asipopafahamu na pembeni yake amelala mwanaume asiyemjua. Anajaribu kuvuta picha lakini hamna kinachokuja kichwani...
9 Reactions
21 Replies
272 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,439
Posts
49,691,220
Back
Top Bottom