Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tujiunge na CCA to celebrate Africa Day this Saturday 25th  Dear CCA Members and Partners, Corporate Council on Africa is delighted to remind you of the upcoming celebration of Africa Day on...
2 Reactions
5 Replies
61 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
519K Replies
30M Views
Tusanue apps zipi unatumia kwenye simu, Android OS au iOS Ambazo zinakurahishia kwenye nyanja tofauti. Tuambie na namna ya kuzipata. Mfano: Hii unaweza kuipata kwa kuidownload kutumia browser...
2 Reactions
9 Replies
214 Views
Wakuu habari za muda huu najua mko njema tunaendelea kupata pumzi ya bure na Mungu atubariki Kama kawaida kuna wakati mtu unapambana na inafika hatua unatamani uwe na kwako uchomoke kwenye mambo...
6 Reactions
49 Replies
1K Views
A
Matumizi ya Speaker ina mipaka yake. Ukizidisha sauti inakuwa sio adhana bali ni kero kwa wananchi, ambapo sio wote ni waislamu. Dini yetu inasisitiza sana kuchunga haki za majirani na kwenye...
2 Reactions
13 Replies
338 Views
A
Anonymous
Habari, Nimepoteza mtu wangu wa karibu sana siku ya jana kutoka Hospitali ya Mloganzila 😭😭😭😭😭😭😭. Hakuna daktari pale, kuna wanafunzi (interns) tu wanaotoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliye...
2 Reactions
12 Replies
305 Views
Pata shida ndio hautashangaa maamuzi watu wanayoyafanya. Nilipofikia sasa ni kuanguka, kila linachonizunguka kinapotea yani nipo kwenye ncha ya kufirisika na kinachofatia nitashindwa kuhudumia...
3 Reactions
18 Replies
254 Views
MISEMO YA WAKOSAJI🤡 Gari lenyele ni la mkopo Manzi kampendea pesa iPhone ni simu za showoff Chakula cha hotel hakina afya— junky Kila mtu atarudi kaburini mtupu Wenye pesa hawana furaha maishani...
1 Reactions
1 Replies
7 Views
Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee...
64 Reactions
34K Replies
2M Views
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake. Nitaleta update zaidi. Wanawake kuweni sana makini...
21 Reactions
345 Replies
8K Views

FORUM STATS

Threads
1,856,336
Posts
49,688,456
Back
Top Bottom