Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nataka kumnunulia mpenzi wangu pedi ila sijajua ipi ni bora zaidi.
6 Reactions
56 Replies
644 Views
Niaje waungwana Leo nimeamua nilete kwenu uzi huu ili tumalizie ubishi uliopo mtaani kwetu kwa muda wa week tatu sasa bila kumpata mshindi wa kweli, huku kila kundi likivutia kamba upande wake...
6 Reactions
138 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu. Wakubwa shkamoo...... Ushawahi kujiuliza maisha yangekuwaje bila Dini? Leo nimewaza nikawazua na kuangalia mifano iliyohai kuhusu uhusiano uliopo kati ya mtu kuwa na roho ya...
0 Reactions
12 Replies
131 Views
Swali hapo liko wazi Kabisa Hakunaga kifungu cha katiba kinachoruhusu Bunge kuvunjwa na kuitishwa Uchaguzi Mkuu wa wabunge? Nawasilisha Mlale Unono😂😂
0 Reactions
20 Replies
302 Views
Habari wanajukwaa Mimi ni binti wa miaka 28 nimesoma diploma ya pharmacy changamoto niliyonayo ni kusikia nimemaliza chuo 2020 sjabahatika kupata Chet nadaiwa sina wazazi. Naombeni mnisaidie...
10 Reactions
25 Replies
514 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
518K Replies
30M Views
Kwanza sio lazima niwasalimie maana nitapoteza muda tu...🤨 Ipo hivi. Jukumu la mzazi wako ni kuhakikisha unakua na afya njema, unapata malazi na mavazi mazuri na kisha unapata elimu na maarifa...
6 Reactions
24 Replies
223 Views
Watu wa Soka, Umofia kwenu. Nimekuwa nikipokea SMS nyingi na maswali kwenye mitandao ya kijamii kuhusu nini kimetokea kati yangu na Klabu ya Singida Fountain Gate ambayo nilikuwa naitumikia kama...
12 Reactions
47 Replies
985 Views
Kwa heshima kubwa naomba Serengeti mrudishe logo ya zamani. Hii mpya ni mbaya sana. Imefanana sana Balimi na hichi kitu sijakipenda. Sijui nani alifanya huu utafiti na kuamua kuja na hii aisee...
6 Reactions
28 Replies
828 Views
Ni hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta. Sasa kafariki...
13 Reactions
68 Replies
907 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,179
Posts
49,683,942
Back
Top Bottom