Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Baada ya serikali kupitia polisi kuamua kufumbia macho kesi ya shambulio la kukusudia kumuua Lissu na majuzi kufunga rasmi mjadala huo kwa kumrudishia kielelezo cha kesi (evidence) ghafla jambo...
20 Reactions
79 Replies
2K Views
Viongozi waandamizi chadema kwa mfano, Lissu na Mbowe, wana nguvu sana kisiasa, wana uwezo mkubwa kujieleza, kutetea na kujenga hoja, wana maono, vipawa vya kipekee sana, nia, dhamira njema...
1 Reactions
15 Replies
193 Views
Massawe, Benki ya Kigali, benki kubwa ya Rwanda kwa mali, imemthibitisha Deogratius Massawe kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa kitengo cha teknolojia, BK Techouse. Deo alikuwa kaimu Mkurugenzi...
41 Reactions
149 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania. Mama huyu...
1 Reactions
126 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
518K Replies
30M Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
138 Reactions
156K Replies
8M Views
Kabila la Yoruba la Nigeria Ndio linaongoza kuzaa Mapacha hapa Duniani, wao wanaita Yoruba the land of twins. Kwa jinsi navyopenda Mapacha, nataka kujua ni kabila gani hapa Tanzania Wana Mapacha...
0 Reactions
40 Replies
2K Views
Tunakumbushana Tu maana kwa Kawaida Binadamu ana hulka ya kusahau alikotoka Prof Kitila alikuwa Injini ya Chadema na Kafulila alikuwa Injini ya Bavicha Uchumi unapaa haupai? Unapaaaaa...
0 Reactions
4 Replies
18 Views
Ni hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta. Sasa kafariki...
14 Reactions
71 Replies
970 Views
Nimepita YouTube nikakutana na mwaidha ya sheikh mmoja anayeitwa Dr. SULLE, ukimsikiliza kwenye video anasema Ibrahimu alikuwa Muislam, sijui na Hekalu lilikuwa la waislamu, na wakati huo huo...
30 Reactions
347 Replies
11K Views

FORUM STATS

Threads
1,856,182
Posts
49,684,038
Back
Top Bottom