Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria. Amedai utafiti...
15 Reactions
161 Replies
7K Views
Habari wanaJF, Ninaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi". Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako. Mfano: Ualimu Tanzania...
147 Reactions
81K Replies
3M Views
๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐™Š : Centieme dossier ๐™ˆ๐™’๐™„๐™ˆ๐˜ฝ๐˜ผ๐™…๐™„ : FALLY IPUPA ๐™๐˜ผ๐™๐™Ž๐™„๐™๐™„ : SULE MKANDARASI "๐™…๐™š ๐™ ๐™ช๐™ข๐™ฅ๐™–๐™ฉ๐™– ๐™ข๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฏ๐™– ๐™จ๐™–๐™๐™ž๐™๐™ž ๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ž๐™จ๐™๐™ž ๐™ฃ๐™–๐™ฎ๐™š ๐™ฃ๐™ž ๐™—๐™–๐™๐™–๐™ฉ๐™ž ๐™–๐™ข๐™– ๐™Ÿ๐™ž๐™ฉ๐™–๐™๐™–๐™™๐™– ๐™ฏ๐™– ๐™ข๐™ฉ๐™ช?? ๐™…๐™ž๐™—๐™ช ๐™—๐™–๐™ ๐™ž ๐™ฃ๐™–๐™ก๐™ค. ๐™„๐™ก๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š ๐™๐™ž๐™ ๐™ž ๐™ ๐™ž๐™—๐™–๐™ค...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kuna habari nimeiona mtandaoni,nimeona niilete jukwaani. Shirika la fedha la IMF ,litaikabidhi Tanzania mkopo wa dollar millioni 150 ili kuweza kukabiliana na kushuka kwa thamani ya shilingi...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Hapo Mimi huwa sielewi kibali tayari, nini huwa kinakwamisha au bajeti na mchakato kuchambua maombi utachukua mda Gani na hao watumishi wapya mfano Walimu wataripoti lini au mwezi wa 9? Au Kuna nn...
1 Reactions
2 Replies
17 Views
1. Inaelezwa kuwa kiungo wa Young Africans Aziz Ki ameongeza mkataba wa miaka miwili na timu hiyo 2. Klabu ya Azam na Young Africans zinamuwania beki kisiki wa Coastal Union Lameck Lawi 3. Kuna...
11 Reactions
77 Replies
12K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views
Niliona uzi humu eti mtu anataka afarijiwe kuhusiana na yeye kupenda huduma mpy ya Irene Uwoya. Yalianza na jamaa aliekuwa Lugombas. Sasa ni irene uwoya kutumia ushawishi wake kupata kondoo...
3 Reactions
5 Replies
105 Views
Kamanda ambaye hakuna Mechi ya NBC Premier League iwe Kwa Mkapa au Chamazi anakosa sasa huo Utendaji wake hadi kufikia nae kupewa hiyo Nishani jana na IGP Wambura ni upi? Kama kuna Makamanda ambao...
0 Reactions
3 Replies
27 Views
Oleksandr Usyk anakua UNDISPUTED CHAMPION wa kwanza wa Heavyweight (Boxing) kwenye 4 belt Era, mara ya mwisho Undisputed Champion kwenye division hii alikuwa Lennox Lewis mwaka 1999 wakati wa...
4 Reactions
29 Replies
645 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,106
Posts
49,651,154
Back
Top Bottom