Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huyu samaki nyoka nimeletewa na alikuwa mzima Tena anauzwa 1000 tu tunamuandaa kumtengeneza supu we ungeweza kumla huyu
0 Reactions
15 Replies
323 Views
Binafsi nachukulia vurugu na ndondi zinazoendelea kwenye Chaguzi za Ndani za Chadema kama Ukomavu wa Demokrasia ya Watu kukataa kuburuzwa Na hiyo ni dalili njema kwa chama cha Upinzani Duniani...
0 Reactions
3 Replies
85 Views
Wadau, Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa...
248 Reactions
3K Replies
218K Views
Kijeshi askari anapo kuwa mbele ya mkubwa wake akiwa anaongea anakua anapaswa kukaa mguu pande na mikono huwa nyuma kuonesha utii wake kwa kiongozi wake huyo. Kama ilivyo picha huwa na lugha...
3 Reactions
21 Replies
280 Views
Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc. Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika... Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili...
6 Reactions
18 Replies
283 Views
Leo Timu bora kuliko zote Africa Mashariki na Kati kwa mujibu wa CAF, Mnyama Simba Sport Club anakutana na KMC katika mchezo wa NBC Premier League. Simba inaingia uwanjani ikiwa inawania nafasi...
2 Reactions
15 Replies
239 Views
Habari zenu wakuu Kwanza nipende kushukuru aliyebuni uanzishwaji wa hii ajira portal maana imetoa fairness sana kwa walio wengi bila kujali status yako ya kiuchumi Pamoja na hayo yote lakini...
0 Reactions
3 Replies
79 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
42 Reactions
51K Replies
3M Views
Dear concerned parties Settlers along the Mbezi Beach A river are facing a significant challenge posed by unauthorized sand extraction and corrupt practices within the contracting process. The...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri Hivi ilikuaje akasoma masters...
18 Reactions
284 Replies
15K Views

FORUM STATS

Threads
1,857,024
Posts
49,704,334
Back
Top Bottom