Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu si kwa ubaya! Mi natamani kujua hili swala,, Dini au iman fulan zimekua zikipokezana tangu dunia kuanza huja na kupotea. Dini hupotea kwa sababu ya kuja dini nyingine yenye nguvu au itikad...
3 Reactions
61 Replies
1K Views
Zimekuwapo tabia mbovu mbovu za wakaazi wa Dar kuwaita wakaazi wa sehemu tofauti na Dar eti wanatoka Mikoani. Arusha huwezi kuifananisha na Mikoa kama Njombe,Pwani,Mtwara au Songea. Arusha ni...
0 Reactions
27 Replies
192 Views
Nyumbani kwangu kuna paka alijileta akapazoea wife akaniambia muache apambane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi. Huyu paka hana mpango...
6 Reactions
36 Replies
447 Views
  • Suggestion
UTANGULIZI: (TAARIFA YA TCRA).12 Mei 2024, mnamo majira ya saa tano asubuhi, kulikuwa na tatizo la upatikanaji wa huduma ya intanenti nchini. Taarifa za awali zimeonesha kuwa tatizo hilo...
0 Reactions
3 Replies
57 Views
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka. Tena kibaya zaidi Rais wa Norway...
19 Reactions
169 Replies
3K Views
Akiwa kwenye ziara yake Longido, Makonda kama kawaida yake akiwa anatatua kero za wananchi, kamati hii ilihojiwa sababu ya ujenzi wa shule kusuasua. Wakati mwanakamati huyo anajieleza Makonda...
17 Reactions
138 Replies
4K Views
Kama unataka kuwa Freelancer nafasi zipo za kutosha,jinsi ya kuomba fata maelezo bila kukosea. 1.Bonyeza Hapa 2.Kisha bonyeza Hapa jisajili. 3.Kuhakiki usajili wako bonyeza hapa 3.Baada kujaza...
1 Reactions
17 Replies
280 Views
Kitendo cha mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda kumdhalilisha afisa wa serikali mwanamke huko Longido mkoani Arusha hakikubaliki. Makonda akimhoji mtumishi huyo alisikika kumwambia mbele ya...
0 Reactions
1 Replies
14 Views
Kabla hujasoma jua kua Nimecopy na kupaste kutoka twitter kwa @NikkiWa111 The Story: Muda huu nikiwa narudi kutoka mihangaikoni, naona watu wengi, bodaboda wengi wamekaa vikundi vikundi, kiasi...
8 Reactions
204 Replies
9K Views
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya...
28 Reactions
1K Replies
76K Views

FORUM STATS

Threads
1,856,862
Posts
49,701,159
Back
Top Bottom