Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari Zenu Ndugu Zangu wa Jamii Forums, Mimi Ni Kijana Mwenye Umri wa Miaka 28 Naishi Chanika Dar es salaam, Ninachangamoto Ya Kutafuta Ajira Ndugu zangu Elimu Yangu Ni Kidato Cha Nne Ngazi Ya...
1 Reactions
3 Replies
5 Views
Ukisikia mtu kaua mpenzi kwa wivu wa mapenzi mara nyingi kama siyo zote ni mwanaume wa kanda ya ziwa au mikoani huko Huwezi kusikia mzaramo. Najiuliza kwann Hawa wenzetu wanawezaje kumudu stress...
15 Reactions
63 Replies
1K Views
Wakuu kuna fundi, Amefanya Wiring kwenye nyumba ila kuna kitu naona kama ni kigeni naombeni msaada kujua kama ni sawa au Kuna shida. Kwa kawaida switch Huwa na matundu Matatu tundu moja juu na...
1 Reactions
12 Replies
151 Views
Akiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili...
4 Reactions
12 Replies
857 Views
Hellow brothers and sisters. Kuna jambo limezuka sikuhizi ama kuenea kwa kasi katika jamii yetu. Kuna baadhi ya maneno yamekuwa yakisikika midomoni mwao watu hasa vijana wa kisasa, maneno hayo...
6 Reactions
90 Replies
689 Views
Dunia imeharibika sana. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mmoja amemteka mtoto wake wa miaka 3 na kumficha mtoto huyo kwa mama yake mzazi (bibi wa mtekwaji) ili kufanikisha mpango ovu wa...
9 Reactions
35 Replies
752 Views
Haimaanishi hawa wengine siwakubali la hasha! Ila hawa nitakao wataja nawakubali kwasababu zao mbali mbali na nitazitaja hapa, nawe pia mwamba unaweza kufunguka kama itakupendeza ingawa sio lazima...
16 Reactions
129 Replies
2K Views
Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc. Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika... Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili...
6 Reactions
27 Replies
418 Views
Habari Wakuu. Hivi inakuje kuna baadhi ya familia unakuta watoto wote wana akili, wamesoma mpaka level za juu kabisa. Au unakuta familia nyingine karibu wote wana uchumi mzuri, wana biashara...
11 Reactions
76 Replies
851 Views
Naitwa Bichwa Komwe. Mimi ni mtoto pekee katika familia ya Kitajiri. Baba yangu alikuwa muajiriwa katika kampuni ya wazungu, na alifanikiwa kuchuma fedha na mali nyingi. Mama yangu ni msomi na...
24 Reactions
99 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,857,059
Posts
49,704,921
Back
Top Bottom