Chawa ni zaidi ya mpambe.
Napenda kuzungumzia hawa chawa wa kiume, kuanzia kwenye siasa, music industry hata mtaani.
Chawa wanapenda lifestyle la wanaume wenzao wenye pesa, ili kuweza na yeye...
Katiba ibadilishwe kumuzesha Rais kutimiza maono yake ya kuipaisha nchi yetu kiuchumi awamu iwe miaka 7 ukomo nafasi husika ya uondolewe
Wadau hamjamboni nyote?
Nawaslisha maoni yangu...
Picha linaanza dem mzuriiiiii shyombe shyombee pisi ya kwenda.
Mkiongea mkimya mtaratbu nikaona isiwe shida nijiweke.
Kweli akanielewa Fresh tumeanza safari yetu.
Onbed hana time she is like...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki uzinduzi wa album ya Harmonize leo tarehe 25 Mei, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City...
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido...
Ndugu zangu wana Jf habari zenu.
Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
Huwezi kutuvalia mtisheti wako wa Brazil siku tunakabidhiwa kombe bana.
Ni kwamba ulikosa tshet maalumu inayoendana na tukio la leo au ulikosa kabisa jezi ya Yanga?
Ulitaka kuonekana tofauti...
SONGESHA na MIKOPO mingine ya simu imepelekea watumishi KUNYIMWA mikopo WAnapoenda bank kukopa, na hii ni kutokana na mamlaka zinazosimamia mikopo kuweka utaratibu wa madaraja high risk,risk na...
Centre park ni Bustani ya mjini kati ya Upande wa Magharibi mwa Upande wa Juu na vitongoji vya Upper East Side vya Manhattan huko New York City ambayo ilikuwa mbuga ya kwanza yenye mandhari nchini...
Wakuu si vibaya kupeana mikakati ya kukabiliana na janjajanja za hawa wenzetu wenye mawazo kutudidimiza kwa faida zao.
Maana na wao kila uchao wana mbinu mpya.
Mimi kwakweli nimeanza kuwaogopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.