Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸 Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri. 1) Upande wa ndege hawana mpinzani 2) Mambo ya space science ni hatari...
17 Reactions
190 Replies
4K Views
Jeshi la IDF linaendelea na Kazi ya kutafuta Mateka kila kona ya mji wa Rafah.. mwendo ni kata funua hadi kieleweke. Masikitiko sana kupata Mateka wakiwa hai.. South Africa na Uturuki wanaona...
2 Reactions
26 Replies
442 Views
Kwa yanayoendelea ndani ya siku moja kufutiwa nyuzi au kubadilishiwa content ili zisound kama za mwijaku na mama anaupiga mwingi hapa JF hakika hatuna chetu tena nimelia sana. Ule uzi jf ni chombo...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi...
21 Reactions
127 Replies
2K Views
Wimbo wameimbia mshikaji na demu unapoanza anaanza kuimba dada anasema "ana stress siku mbili hajala" sina hakika kama nimepatia.Ahsanteni
1 Reactions
14 Replies
56 Views
Wakuu, baada ya taharuki iliyotokea kuhusu Serikali kutoa idhini ya kuhesabiwa kwa Wanafunzi na Walimu waislamu Mashuleni naona imetoa zuio kwa kibali hicho. Hadi sasa bado haijajulikana kwanini...
2 Reactions
49 Replies
1K Views
Salaam, Shalom!! Nimehuzunika sana kutokana na kauli ya Ndugu TUNDU Lissu alipokuwa akikabidhiwa gari alilopata nalo masaibu Yale mazito. TUNDU Lisu anadai kuwa, atalichukua gari ile, Kisha...
2 Reactions
21 Replies
166 Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa...
25 Reactions
159 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nikitizama na kufuatilia namna vyama vya upinzani vinavyoendeshwa ,vinavyofanya maamuzi yake,mfumo wa uongozi na namna ya kupokezana madaraka, uvumilivu na demokrasia...
6 Reactions
60 Replies
433 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,681
Posts
49,637,976
Back
Top Bottom