Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
57 Reactions
320 Replies
7K Views
Waziri wa Habari Mh Nape Nnauye amesema , Serikali inaangalia uwezekano wa kushawishi Makampuni yanayotengeza Simu , au mawakala wao ili wawe wanawakopesha simu wananchi na kuwakata fedha kidogo...
20 Reactions
122 Replies
7K Views
Katika hatua yakwanza tulifanikiwa kuiua na kuizika Tanganyika, safari hii tuiue na kuizika Zanzibar tubaki na Tanzania tu. Unguja na Pemba iwe mikoa, tuweke wakuu wa mikoa wawili kule, nchi iwe...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Depression inaniua taratibu, sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
13 Reactions
67 Replies
602 Views
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae...
21 Reactions
6K Replies
219K Views
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, na Mwanachama wa JamiiForums William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam. Taarifa za...
43 Reactions
884 Replies
116K Views
Kuna mtu anaitwa Eldadi, mwingine ni Elia kumenya na mch. Flora! Je, ni nguvu gani wanatumia kutabiria watu vifo? Kurogwa na mambo mengine kama hayo. Kwa anayewafahamu anisaidie
3 Reactions
77 Replies
2K Views
HILI JAMBOO NIMEONAAA NISHUSHE NYAVUUU NISHUSHE NYAVOO KWA NENO LAKOOO NASHUSHA NYAVU NIAJE WAPENDWA NAOMBA NISEME HAWA NDUGUZETU TULIOSOMA NAO SHULE WA DINI YETU TUWAHESHINU UNAJUA WENGINE...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwa wataalam wa bajeti na masuala ya uchumi, ni waziri gani wa fedha amewahi kukopa fedha nyingi kwa muda wa miaka mitatu ya uongozi wake kama Mwigulu Nchemba? Kukopa siyo tatizo, je mikopo hii...
0 Reactions
6 Replies
48 Views
Baadhi ya mambo yaliyojitokeza kwenye majadiliano ya CHADEMA ni pamoja na kupenyezwa kwa hoja ya kuwasamehe wabunge 19 warejee kwenye chama. Wajumbe kwa kauli moja wamewakataa wabunge hao na kudai...
1 Reactions
3 Replies
4 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,979
Posts
49,619,231
Back
Top Bottom