Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

... 🙂 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗙𝗨𝗞𝗨𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗕𝗨𝗥𝗜 "Tumemsajili Ngoma Mchezaji tuliyemuiba Airport, tuna Chama, Miquissone karejea.. Tutachukua Ubingwa wa ligi kuu mapema sana msimu huu 23/24" ©️ Ahmed Ally Meneja wa...
4 Reactions
8 Replies
356 Views
Tetesi zinaelekeza Salim Kikeke anaendelea kutajwa kumng'oa Ayub Rioba alijizindika pale TBC. Hii ni baada ya chombo hiki cha Wananchi kushindwa mambo mengi na kufuja fedha za umma huku Watumishi...
20 Reactions
90 Replies
5K Views
Hapa ni mzani wa kahama (mwendakulima) na haya mashimo yapo unapoingia na kutoka mzani Kwa kweli ni mashimo makubwa sana na hatarishi kwa vyombo vinavyoingia kupima uzito. TANROADS kwanini...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Mzuka Wanajamvi! Itakuwa bonge la Mechi. Ngumu kwa shabiki wa mpira kukosa kuangalia na kufuatilia. Hii mechi ya ligi kuu uingereza ni ya kusisimua ni Tottenham Hotspur vs Mancity ambayo...
6 Reactions
39 Replies
425 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
516K Replies
30M Views
Furaha iwe na mipango. === Kaizer Chiefs are set to announce new coach and two signings on Wednesday? On Monday, a statement indicating that Kaizer Chiefs will unveil a new coach and players on...
0 Reactions
27 Replies
725 Views
Nimemkuta Meya mstaafu wa Ubungo mh Boniface Jacob Kule ukurasani X akisema Yeye alikuwa Mlinzi wa Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe Imenitafakarisha sana 🐼 Niishie hapo
0 Reactions
13 Replies
82 Views
Aiseeeee habari za leo wazee......... Huyu jirani yangu ana watoto wawili mmoja yuko darasa la tano mwingine yuko darasa la pili, ni mdada wa makamo shughuli yake kuu ni kupika vitafunwa asubuhi...
14 Reactions
76 Replies
1K Views
Probability ya mwanaume kumcheat mkewe( kuwa na mchepuko) Ni almost 80% Au niseme zaidi ya asilimia 80 ya wanaume wote Duniani Ni wanacheat kwa wapenzi/ wake zao. Ila ukimuona mwanaume ambaye...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
wakuu mambo ni vipi Embu Leo Taja jina la mtu ambaye hujawahi Kulisikia tena baada ya kukutana na mtu analitumia. Mimi nilikutana na jamaa anaitwa drufiano lile jina sijawahi kulisikia sehemu...
9 Reactions
179 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,738
Posts
49,612,452
Back
Top Bottom