KUULIZA SI UJINGA
NAKUMBUKA MARA YA PILI WALITANGAZA KUJENGA BARABARA UBUNGO KMR
WATU WAOGA WAKAVUNJA MPAKA LEO HII ILE NJIA AIJAJENGWA
SASA KUNA HII NJIA YA KMR BONYOKWA TUNAPENDA SANA...
Habari ndugu zangu.
Poleni na majukumu.
Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana.
Meza 2...
Aiseeeee habari za leo wazee.........
Huyu jirani yangu ana watoto wawili mmoja yuko darasa la tano mwingine yuko darasa la pili, ni mdada wa makamo shughuli yake kuu ni kupika vitafunwa asubuhi...
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri. Kazi iendelee.
Mama Samia, wakazi na wapiga kura wako wa GOBA Njia ya Tegeta A kuelekea madawa na njia ya Tegeta A kuelekea kulangwa kupitia makanisa ya Katoliki...
Make: Toyota
Model: NOAH
Model number: SR50
Body type: Station wagon
Year of Manufacturer: 1999
Color: White
Engine Capacity: cc 1990
Good Condition
Android TV/Audio
A/C
Location: Dodoma
Price...
Inastaajabisha sana naweza kukaa miezi miwili sija login jamii forum
Unapata muda unaingia hukutani na kitu cha muhimu
Unakuta petty discussion tena wanaoanzisha wengi wao ni wale wajinga wenye...
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria A380 linatua daily kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3...
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria.
Amedai utafiti...
Hivi haiwezekani kutafuta maeneo mapya na ikajengwa Hospitali Mpya kuliko kukarabati Hospitali moja kila baada ya muda mfupi?
Au mimi kuna kitu sielewi?
Ni wakati wa kutafakari faida za Muungano. Na kama zipo, ni muhimu kuwa na Muungano imara ambao tunakubaliana uwe ni Muungano wa namna gani.
Fikiria kuwa mikopo yote inatafutwa kwa jina la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.