Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

KUULIZA SI UJINGA NAKUMBUKA MARA YA PILI WALITANGAZA KUJENGA BARABARA UBUNGO KMR WATU WAOGA WAKAVUNJA MPAKA LEO HII ILE NJIA AIJAJENGWA SASA KUNA HII NJIA YA KMR BONYOKWA TUNAPENDA SANA...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari ndugu zangu. Poleni na majukumu. Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana. Meza 2...
0 Reactions
5 Replies
146 Views
Aiseeeee habari za leo wazee......... Huyu jirani yangu ana watoto wawili mmoja yuko darasa la tano mwingine yuko darasa la pili, ni mdada wa makamo shughuli yake kuu ni kupika vitafunwa asubuhi...
9 Reactions
50 Replies
918 Views
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri. Kazi iendelee. Mama Samia, wakazi na wapiga kura wako wa GOBA Njia ya Tegeta A kuelekea madawa na njia ya Tegeta A kuelekea kulangwa kupitia makanisa ya Katoliki...
2 Reactions
53 Replies
951 Views
Make: Toyota Model: NOAH Model number: SR50 Body type: Station wagon Year of Manufacturer: 1999 Color: White Engine Capacity: cc 1990 Good Condition Android TV/Audio A/C Location: Dodoma Price...
0 Reactions
2 Replies
20 Views
Inastaajabisha sana naweza kukaa miezi miwili sija login jamii forum Unapata muda unaingia hukutani na kitu cha muhimu Unakuta petty discussion tena wanaoanzisha wengi wao ni wale wajinga wenye...
8 Reactions
23 Replies
257 Views
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria A380 linatua daily kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3...
1 Reactions
23 Replies
295 Views
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria. Amedai utafiti...
4 Reactions
58 Replies
2K Views
Hivi haiwezekani kutafuta maeneo mapya na ikajengwa Hospitali Mpya kuliko kukarabati Hospitali moja kila baada ya muda mfupi? Au mimi kuna kitu sielewi?
0 Reactions
3 Replies
124 Views
Ni wakati wa kutafakari faida za Muungano. Na kama zipo, ni muhimu kuwa na Muungano imara ambao tunakubaliana uwe ni Muungano wa namna gani. Fikiria kuwa mikopo yote inatafutwa kwa jina la...
32 Reactions
84 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,724
Posts
49,612,054
Back
Top Bottom