Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma 2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma 3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha 4. Wasomi wengi tunaishi Maisha...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Internet ipo slow sana lakini tunaweza kujuzana mitandao yenye nafuu Hapa natumia halotel 4G, ipo slow kama kobe, Imenilazimu nizime picha kidogo kuna nafuu. Wewe unatumia mtandao gani, Je kuna...
4 Reactions
44 Replies
1K Views
Kiongozi wa hovyo ametugharimu mpaka sasa baadhi ya mitandao imeshindwa kutoa huduma ya intaneti. Mambo kibao hayaendi, leo tunaingia ofisini na hatuna cha kufanya sababu ya huyu Waziri mmoja...
3 Reactions
26 Replies
893 Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
jana nimeenda kufanya interview ya MDA leo nimekuta wamenichagua niende next step yani oral, nilikuwa nauliza kama oral pia inafanywa online??
1 Reactions
3 Replies
55 Views
HII NIKO SERIOUS MWOTA NDOTO HAFI MPAKA ITIMIE VIONGOZI WA SIMBA PELEKEN WACHEZAJI WENU WAKAOMBEWE CHUKUEN SERIOUS MANENO YA BENCHIKA HAWA N WAMECHUKULIWA UFAHAMU WAGUMU KUELEWA UKIONA MTU KAMA...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Wakuu kama thread inavojieleza either kulingana na uzoefu wako au umeskia ndugu jamaa wanasema tupate, mkombozi wa mapishi kwa umeme. Induction cooker Multi Cooker
3 Reactions
71 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amewasilisha ushahidi wake wa tuhuma za viongozi kupenyezewa rushwa na Matajiri wa CCM Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe atalitolea tamko pamoja na...
0 Reactions
14 Replies
359 Views
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umesema Leo hautapokea Wageni iwe una miadi ama la kutokana na Changamoto ya Intaneti Source Ayo TV
0 Reactions
1 Replies
186 Views
Wakuu hili liko wazi, Mabwanyenye wengi ndicho kiwango wanacholipa baada ya kuwahenyea . Hivi kwa hiki kiwango unatoboa vp, japo inawezekana ukipata ufahamu! Njooni, wataalamu wa bajeti
4 Reactions
55 Replies
810 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,458
Posts
49,604,753
Back
Top Bottom