si ametuona sisi ni wambea sana tunaweza kusema ya ofisi za huko MDA!Kwanini usiwaulize hao hao wahusika ili upate jibu la uhakika?
sawa sawa mkuuOral inafanywa face to face
Ndiyo. Kwa nchi za wenzetu oral inaweza kufanyika online. Hata vaadhi ya mashirika ya kimataifa hufanya online.jana nimeenda kufanya interview ya MDA leo nimekuta wamenichagua niende next step yani oral, nilikuwa nauliza kama oral pia inafanywa online??View attachment 2989075