Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari! Nilipomaliza form 6 zikatoka nafasi za kwenda jeshi wanaita "kwa mujibu" basi nikaangaza macho yangu kwenye orodha nikaona "Ephen - Rukwa" Basi nikafurahi sana, furaha haikua kwasababu...
133 Reactions
1K Replies
453K Views
Hali ya rushwa kwa askari wa usalama barabarani imefikia kiwango cha kutisha sana, majuzi hapa nilikuwa nasafiri na gari majira ya usiku wa manane, askari akanisimamisha nikakutwa na makosa...
1 Reactions
6 Replies
12 Views
Mtoto wangu yoyote yule akija kuwa askari polisi amejifukuzisha mwenyewe kwenye familia.
17 Reactions
108 Replies
1K Views
Suala la serikali kuingiza udini kwenye elimu limepigiwa kelele kila kona. Kuna baadhi ya wadau wanaamini kwamba hata kabla hizi tahasusi za dini kuanza kufanya kazi, kuna uwezekano serikali...
7 Reactions
94 Replies
1K Views
Wakati ushindani wa Kukamatwa rasilimali muhimu yaani critical minerals kati ya China na USA ukipamba moto, Serikali ya China imeiteua Kampuni ya CCCE kama Mjenga na muendeshaji wa reli ya Tazara...
12 Reactions
73 Replies
8K Views
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo...
36 Reactions
158 Replies
3K Views
1. Huu ndiyo ulio ukweli mchungu wenye kuakisiwa vyema nyuma ya jitihada zote za Afrika Kusini hadi ICJ huko dhidi ya Israel. 2. Kwamba kuna mpenda haki wapi kwetu aliyebakia CCM, CHADEMA, ACT...
0 Reactions
4 Replies
28 Views
Mzee Wa upako anaamini Yesu Sio Mungu ni mojawapo tu wa viumbe vilivyoumbwa na Mungu msikilize mwenyewe akiongea https://youtu.be/arslWzOsg6U?si=kb8B1gDqxFl-jXq8
16 Reactions
243 Replies
3K Views
Wakuu, nipo hapa napambania kujikwamua kwenye umaskini, nipo nachakata mawazo kwa ajili ya kufanya harakati, wengi walianzia chini sana na wakafanikiwa kupata pesa nyingi. Mawazo yangu niliyonayo...
6 Reactions
57 Replies
814 Views
🇿🇲 Mwaiseni! 🇿🇲 This thread is for all Zambians and friends of Zambia who want to exchange stories and news from home. To those living in Tanzania or other countries: What do you guys miss the...
1 Reactions
2 Replies
86 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,280
Posts
49,595,419
Back
Top Bottom