Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Baada ya sekeseke la waimbaji wengi wa Injili hususani wa kike kuharibu ndoa zao, watu wengi wamehoji nini chanzo cha hayo yote. Ukweli ambao hausemwi na labda haujulikani ni kuwa, wengi wa...
13 Reactions
52 Replies
671 Views
Shujaa Magufuli alikuwa Rais wa JMT Juma Nkamia alikuwa Mbunge na Naibu waziri Tundu Lisu alikuwa Mbunge Juma Nkamia aliogopa kutumbuliwa akatoa Sifa za uwongo Ili Katiba ibadilishwe na Rais...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee...
64 Reactions
34K Replies
2M Views
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema ambae ndio role model wa Chadema amesema atamtia ndani mpinzani wake wa Kisiasa ambae ni Rais wa Zamani bwana Edgar Lungu Kisa Wananchi wengi Wanamfuata baada ya...
7 Reactions
60 Replies
2K Views
Humu unaweza kujitoa mwenyewe sadaka au kumtoa mwingine wa Karibu. Ila kikubwa ni kiapo Cha damu kisha unakabidhi nafsi.
10 Reactions
65 Replies
3K Views
  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
68 Reactions
23K Replies
2M Views
Sababu Kwanini Hutakiwi Kusex na KILA MTU. Niliposoma Vitabu Kadhaa Vinavyoelezea MAPEPO (Demons) Kikiwemo Kile Cha Dag Hewald Mills Kinachoitwa "Demons, And How To Deal With Them" Nilijifunza...
4 Reactions
25 Replies
349 Views
Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂 Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke...
1 Reactions
6 Replies
120 Views
Nashindwa hata kujieleza maumivu yake kumbe ndo hivi wanangu mpaka video zao wakiwa kitandani ninazo kwenye simu yangu nashindwa hata kumuangalia kwa hasira huyu mwanamke hata kumuulizia juu ya...
49 Reactions
146 Replies
4K Views
Habari wakuu.. Naombeni msaada naona nina allergy na manukato (perfumes & body spray), zinanipa mafua makali sana.. Na hii sio nikipulizia mimi tuu hapana, hata nikikaa na mtu alojipulizia basi...
2 Reactions
11 Replies
511 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,325
Posts
49,599,841
Back
Top Bottom