TCD kuwakutanisha wadau kutafakari Sheria za Uchaguzi zilizopitishwa kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu.
Mkutano huu wa Kitaifa kutafakari na kujenga uelewa wa pamoja juu ya...
Jana nilkuwa nimekaa na wazee wangu wawili wa Chadema ambao ni watu muhimu kwenye baraza la wazee.
Baada ya kubadilishana nao mawazo walionekana kubariki kijiti cha uenyekiti wa chama kupewa...
matumaini na matarajio ya suluhu ya changamoto na matatizo binafsi na ya jumla kwa watu wa Arusha yameamshwa upya na kwakweli ni makubwa mno....
Leo watu wa Arusha wamepata ahueni ya mwanzo...
Iko hivi
nina marafiki wa kila aina tofauti tofauti, walevi na wasio walevi..mimi binafsi ni mywaji mzuri tu ila sio wa kubebwa.
Sasa siku kadhaa za nyuma hapo nilipata kachangamoto flani ka...
Habari zenu ndg zangu,
Ndugu zangu naomba ufafanuzi au ufahamu na ufafanuzi juu ya hali anayopitia mdogo wangu, mdogo wangu kafuata TRANSCRIPT yake ofisi za NACTE DAR tarehe 29/05/2024 akajibiwa...
Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu.
Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake...
Kwa wanao mpinga Lissu watueleze ni kitu gani anachosema cha muungano sio cha kweli?
https://www.youtube.com/live/hmLasxyFJQg?si=lLw63NG_Fuxm-byT
Kama kuna mtu ambaye sio Mzanzibari hapa ana...
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.