Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani? Je, nani...
7 Reactions
30 Replies
389 Views
Ni hayo tu , haiwezekani unazalisha mwingine unakwenda oa mwingine kisa hampendani au kuendana au una zaa na mwingine kirahisi tu unakwenda olewa na mwingine. AU huoi kabisa Haya maumivu ya...
0 Reactions
2 Replies
13 Views
Ukiangalia namna viongozi wa Azam na wachezaji wake wana hali ya usimba na uyanga mle. Kitendo cha Azam kufungwa goli tatu na Simba kulileta tafsiri ya aina yake kwasababu Azam walihitahi tu point...
3 Reactions
6 Replies
176 Views
Wanaukumbi. Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi...
6 Reactions
93 Replies
2K Views
Mada za kuwasema Single Mother zimekuwa nyingi sana ila watu hawajui kuwa Wanaume wenye watoto ambao washatengana na wenza wao ni Pipa na mfuniko na Masingle Mother hawana tofauti ni kitu kimoja...
6 Reactions
15 Replies
136 Views
๐๐”๐‘๐ˆ๐„๐ƒ ๐๐š๐ฎ๐ฅ ๐‚๐จ๐ง๐ซ๐จ๐ฒ ๐ง๐ข ๐ฆ๐ฆ๐š๐ซ๐ž๐ค๐š๐ง๐ข ๐š๐ง๐š๐ฒ๐ž๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ณ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฎ๐๐ž๐ซ๐ž๐ฏ๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ค๐š๐ฆ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ข๐ฆ๐š๐ซ๐ž๐ค๐š๐ง๐ข (๐‚๐ซ๐ž๐ฌ๐ญ๐จ๐ง ๐‘๐จ๐ฐ๐ฅ๐š๐ง๐ & ๐“๐ก๐จ๐ฆ๐š๐ฌ) ๐ฒ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฆ๐š๐ฌ๐ค๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ก๐ฎ๐ค๐จ ๐ง๐œ๐ก๐ข๐ง๐ข ๐ˆ๐ซ๐š๐ช. ๐’๐ข๐ค๐ฎ ๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐š๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฆ๐š๐ฃ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐š๐ค๐ž ๐ฒ๐š...
6 Reactions
15 Replies
187 Views
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto. I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye...
7 Reactions
18 Replies
49 Views
Kafulila anasema " Tatizo la ajira ni halisi lakini ni mtambukwa. Kuna wakati sekta binafsi ilikuwa inatafuta watu wenye sifa fulani inakosa wakati sokoni kuna wasomi bila ajira. Mtaala mpya...
9 Reactions
129 Replies
967 Views
Tusanue apps zipi unatumia kwenye simu, Android OS au iOS Ambazo zinakurahishia kwenye nyanja tofauti. Tuambie na namna ya kuzipata. Mfano: Hii unaweza kuipata kwa kuidownload kutumia browser...
5 Reactions
25 Replies
603 Views
ukiondoa wachaga watanzania wengi wanapajua zaidi vijijini kwa mama zao na ndugu wa mama kuzidi upande wa baba hivyo wanakidhi kigezo cha kuitwa WATOTO WA MAMA. Kwa wachaga naona wapo tofauti...
1 Reactions
7 Replies
66 Views

FORUM STATS

Threads
1,857,407
Posts
49,715,721
Back
Top Bottom