Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Gari nzuri zisizoongelewa sana na wabongo Mitsubishi Outlander ni gari bora na ngumu sana, ila hazina wapiga kelele kuzifanya zishike chati midomoni mwa watanzania. Gari hizi zinavitu vingi sana...
22 Reactions
225 Replies
39K Views
Heshima kwenu! Kila mkoa una neema na changamoto yake. Nilifanikiwa kuwa moja ya mafundi katika ujenzi wa stend mpya Sumbawanga. Kazi ilikwenda vizuri lakini vijana wangu wa kiume wasaidizi...
3 Reactions
34 Replies
542 Views
02 May 2024 Iringa, Tanzania Mazito yawekwa hadharani pesa za Samia na Abdul .... hazipelekwi kunakohusika zimeelekezwa CHADEMA kwanini wakati viongozi wa ngazi za chini CCM walio maelfu wanalia...
4 Reactions
14 Replies
551 Views
Hahahaaaa taja faida kwa ñini unaishi single!
1 Reactions
52 Replies
496 Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
139 Reactions
155K Replies
8M Views
Salaam, Shalom!! Amesikika Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA Mh TUNDU Lissu akitajadharisha wanachama wa CHADEMA kuwa makini sababu tayari Kuna pesa zimeingia kuchafua chaguzi ndani ya chama. Amedai...
2 Reactions
22 Replies
331 Views
Kama mwanamume nilijisikia vibaya ila kwa lile Traako no ilikuwa lazima nichape Kuna demu alipata kazi za muda mkoa ninaofanya kazi sasa kuna siku natoka kazini nikapitia hapo ofisi yao uwa...
1 Reactions
16 Replies
322 Views
Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nauza saloon yangu ya kiume(barbershop) iliyopo makongo stend (mageuzio). Nimepata uhamisho wa kikazi hivyo haina budi kuiuza kwani...
4 Reactions
10 Replies
179 Views
Nchi yetu miaka michache ijayo tutaanza kupambana na Wachina. Inakuaje mchina anakuja nchini kufungua supermarket. Wachina wametapakaa kila kona ya hii nchi wanachukua fursa za Watanzania. Juzi...
3 Reactions
8 Replies
98 Views
Mafundi waliopelekwa nyumbani kufanya ukarabati au ujenzi wa nyumba wametumia mwanya huo kuchora ramani na kukariri vitu mbalimbali kwenye nyumba hiyo, pale waliposafiri na kumuacha housegirl...
6 Reactions
40 Replies
750 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,549
Posts
49,549,846
Members
667,539
Latest member
manageble
Back
Top Bottom