Mbona unatoa sifa za kijinga?
Hujui kwamba wakati tunafanya yote hayo, tulikuwa na viongozi wenye akili timamu? Viongozi wenye uelewa. Viongozi wenye elimu.
Leo hii kiongozi ni divisheni sifuri. Elimu ya hapa na pale. Maisha ya uhuni na na kudanga. Akisimama jukwaani mkono ni kama Hadija Kopa...
Ngoja tuingie twitter tukoleze uhasama tunaoutaka.
Nahisi ni elimu duni tu! EU wako Dar, we unatuma mtu Brussels au naye ana macho yaliyolegea? Tutamtaka smile ili tuone na meno yakoje!
Pale Mpingo House walitunza meno ya tembo na pembe za faru. Ghafla wakatamani pesa, wakatangaza kuuza. Bahati nzuri kwa TZ, Kenya walivuruga mpango huo, wakashindwa. Sasa wamekuja na jipya. Wanatangaza kuuza dhahabu.
Yaonekana wanaojiita ni viongozi ni kama fisi vile, hata akichomwa mkuki...
Tuwashukuru CNN, Al Jazeera na BBC kwa kuweka sawa documentary za mauaji ya katika nchi ya Tanzania
Kila ukifika Uchaguzi, walizoea kutishia wa-TZ kwa documentary za mauaji ya Rwanda, na Congo.
Mungu Ibariki ICC huyu awe rais wa kwanza ktk EAC kujibu Mashtaka...
Nawe unaonesha huna kitu kichwani. Mambo ya chama yametoka wapi? Unaamini mauaji yalifanywa na CCM kwa hiyo waliuwawa ni CHADEMA? Aliyeua ni Samia. Kama Samia ndo CCM, huo ni ufinyu wa akili.
Kuna sehemu mtu anauliza Ushabiki wa Kikwete kwa Samia ulikuwa wa nini? Hakujua kwamba ana uwezo mdogo...
Baadhi yetu tumeona taarifa za sherehe ya mchungaji kutunukiwa u-profesa na chuo cha Amerika. Afisa mkuu wa serikali aliyehudhuria ni Profesa Kabudi. alikuwa ana-smile! Ni huyu huyu ambaye karibuni alikuwa Vatican kuomba Papa aiombee nchi. Ni huyhuyu aliyemwita JPM Mungu. Ni huyuhu aliyeleta...
Anajiita rais, lakini hajui anakwenda wapi! Alianza kwa kusema fujo ni watu wa nchi jirani. Sasa anadai walilipwa. Yaani anatoa majawabu anayotaka kusikia. Pembeni kuna usanii wa Commonwealth na hadithi ya maridhiano.
Yaonekana hakuna niya ya kueleza wauaji ni akina nani. Kuna kundi limetenda...
Huo mkwara unazidi wa Kamanda Muliro? alifanikiwa au yeye mwenyewe alijificha?
Usijali tunaongeza idadi ya vifo ili ICC isipate ugumu wa wahusika hapo The Hague.
Kuna dalili ya kuvuta miguu kuamua ni siku gani vyuo vitafunguliwa, lakini hata iweje tutataka kurudi vyuoni. Tunaporudi tuna letu jambo la moyoni. Hii siyo nchi ya CCM peke yao. Wale vihelehele wa CCM vyuoni tunakukla nanyi.
Taarifa iliyopo wanaandaliwa wanafunzi bandia kuingia vyuoni...
Imepangwa kwa makusudi kwamba siku ya uichaguzi rais atakuwa Zanzibar. Kama ni kweli ni kuogopa usalama wa Bara, hili nalo ni jambo la ajabu kwa sababu majeshi yanayolinda nchi, bara na visiwani yako chini ya mkuu mmoja.
Yawezekana ni kuogopa maandamo, lakini ni hakika kwamba visiwani wao...
Kuna mtu hapa JF anasema Miafrika ndo tulivyo.
Kwa hiyo unaona ni jambo la kuwahiana. Yaani wengine walianza zamani kuondoa kodi, eti?
Mtindo huo ndo uliotumika kuondoa kodi kwenye mafuta ya kula yasiyosafishwa, eti Kenya na Uganda walishaondoa. Kumbe mwenye biashara aliwafuata mmoja mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.