Recent content by zxcvbnm

  1. zxcvbnm

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Uko Sahihi mkuu Nimeongea na mwenye gari kamaa hii akaniambia hivi Kwa trip za mjini gari yake inaenda kutoka 7-9kpl Na kwa safari za mbali imeenda adi 13kpl Lakin hii kwa gari yake ambayo engine haijachoka na service iko wakat. Asante
  2. zxcvbnm

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Asante kwa mawazo yako. Nitajaribu pia ivyo.
  3. zxcvbnm

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Unaongelea kutoka experience au maneno mkuu ?
  4. zxcvbnm

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Asante. Swali apo kwenye kiasi kilichopo kwenye tank na ulaji una husiana nn? Kuna mdau huko juu pia alisema inategemea na fuel kwenye tank pia. Naomba unifungue macho.
  5. zxcvbnm

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Kaka hii 8-9kpl ni wakat AC iko on au gari iko vioo wazi ?
  6. zxcvbnm

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Asante kaka. Ukisema load na service history una maanisha nn ?
  7. zxcvbnm

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Kwa trip za mjiini kama Daresalaam inaweza kula ngapi kwa 1ltre mkuu ?
Back
Top Bottom