IamJackReacher
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 299
- 395
very spacious* and of course luxuriousLuxury??
* - handy when in a tight spot
very spacious* and of course luxuriousLuxury??
Farasi hatari katika lami zilizonyooka ambaye huwezi kutoka nae nje ya jiji ni gereza la kifahari!ni kweli
ila...
huyu farasi (yenye engine kubwa) ni habari nyingine kwenye lami zilizonyooka!
Mimi niliipata ikiwa na mileage ya km 27320tu alaf ni 4WD,nikijaza full tank inaandika kwenye Dashboard 13km/l nikiwa Masafa hapo,Tank linavozidi kupungua ndivo km znapungua mkuu mpaka hata 5.5 /litre.Habari
Naombeni infor ya hii gari ya crown Athlete
Ya mwaka 2005
Yenye engine ya 4GR
2490cc
Asanteni
Fuel economy vinakaa kwenye sentensi moja na baiskeli.Crown 👑 na Fuel Economy havikai kwenye sentence moja.
Crown 👑 na Comfortability vinakaa kwenye mstari mnyoofu.
Gari ikiwa AC onKaka hii 8-9kpl ni wakat AC iko on au gari iko vioo wazi ?
Tengeneza sedan car yako ambayo utatoka nayo nje ya mji😀. Shida ya mbongo akinunua gari anataka gari hiyo akalimie viazi na gari hyo hyo aende nayo ofisin.Gari iko chini kama konokono,huwezi hata kutoka nje ya jiji!A cursed car i ever seen!
mafuta kawaida tu, hayali sana uHabari
Naombeni infor ya hii gari ya crown Athlete
Ya mwaka 2005
Yenye engine ya 4GR
2490cc
Asanteni
Sedan car yangu niliyotengeneza ya kutoka nje ya mji hii hapa😄😄😄Tengeneza sedan car yako ambayo utatoka nayo nje ya mji😀. Shida ya mbongo akinunua gari anataka gari hiyo akalimie viazi na gari hyo hyo aende nayo ofisin.
Wajua Toyota Crown ni an executive Japanese saloon (Sedan) ambayo is built ku rival the world’s best luxury cars.
Ina a high degree of refinement not common kwenye Japanese cars na it obviously targets an upscale clientele.
ina competes na the Lexus LS, Mercedes E-Class, BMW 5 Series, Audi A6, Jaguar XF and Nissan Fuga
The car usually goes 11km/L
That's the little i know about the car.
Wengine wataongezea.
Mimi niliipata ikiwa na mileage ya km 27320tu alaf ni 4WD,nikijaza full tank inaandika kwenye Dashboard 13km/l nikiwa Masafa hapo,Tank linavozidi kupungua ndivo km znapungua mkuu mpaka hata 5.5 /litre.
Hii Gari mkuu kwa wastani 7km mpk 9 kwa mizunguko inategemea ukanyagaji na sehemu pia na kiasi kilichopo kwny Tank maana inaandika kwenye Dashboard!
Sent using Jamii Forums mobile app
karibu mkuuAsante mkuu
basi engine yake iko vizuri maana nikiona gari ingini yake ni 6 basi najua mkwanja utulie kwa adabu.Wajua Toyota Crown ni an executive Japanese saloon (Sedan) ambayo is built ku rival the world’s best luxury cars.
Ina a high degree of refinement not common kwenye Japanese cars na it obviously targets an upscale clientele.
ina competes na the Lexus LS, Mercedes E-Class, BMW 5 Series, Audi A6, Jaguar XF and Nissan Fuga
The car usually goes 11km/L
That's the little i know about the car.
Wengine wataongezea.
Ikiwa imejaa ulaji wake unakuwa mzuri zaidi mkuu,Ila mafuta yakiwa machache ulaji unakuwa mkubwa Mkuu!Asante. Swali apo kwenye kiasi kilichopo kwenye tank na ulaji una husiana nn? Kuna mdau huko juu pia alisema inategemea na fuel kwenye tank pia.
Naomba unifungue macho.
Trip za mjini hiyo haifai kuna muda inaenda mpaka 5km kwa litaKwa trip za mjiini kama Daresalaam inaweza kula ngapi kwa 1ltre mkuu ?