Umeongea kitaalamu sio kishabiki.
Hii kitu nimewahi andika kuwa this time SADEC imeingia kichwa kichwa .
Kipigo na aibu waliyokutana nayo safari hii wataalamu wa hizi mambo tulishayatabiri tangu mwanzo.
Watu wanajisahaulisha kwamba hawa M23 ni jeshi kamili la Rwanda lililo kamilika.
Niliwahi...
Wamejisalimisha kwenye kambi ya UN baada ya kuppkea kichapo.
Tuliwaambia tangu mapema kwamba M23 ya sasahivi sio ile ya miaka ile.
Watu wtu wakakomaza makomwe na kuendelea kutoa sifa za kijinga sijui oooh jwtz ilimpiga nduli Amini.
Kwa sababu ya kukariri ,kwa mara ya kwanza vikosi vya SADEC...
We tangu mvua za mwaka jana mpaka Leo mvua nyingine Yamuna kilichofanyika.
Taifa linapata hasara kwa uzembe tu wala hotosikia yao Takukuru wala usalama wa Taifa kuchunguza uzembe huu.
Hakika hapa Kuna kiongozi anahujumiwa
Kagame ameifanya Rwanda kuwa strong na tishio hawa Africa. Huyu mwamba hata marais wenzake wa Afrika wanamgwaya sana.
Ana akili nyingi sana na ametengeneza jeshi lenye nguvu pengine kuliko jeshi lolote ukanda huu wa Afrika.
Afrika wanatawaliwa na chuki na wivu kwa hatua anazopiga huyu bwana.
Jw ilikuwa mji wa Sake kuzuia m23 wasifike Goma.
M23 wameiteka Sake yenyewe iliyokuwa inalindwa na tayari Goma iliyokuwa inalindwa na mataifa zaidi ya 10 iko mikononi kwa M23 na sasa wanaelekwa Bukavu kwa kuvimba. Sasa jiulize hao walinzi wa sake wamekimbilia wapi?
Majeshi ya serikali na...
Unataka uthibitisho upi zaidi ya hiki kinachoendelea hapo DRC.
Unafahamu ni mataifa mangapi yanapigana na M23/RDF?
Mpaka dk hii majeshi ya kagame ya na tikisa. Wazungu wakukodi we yewe wameomba po, msauzi mwenyewe kauliwa askari wake na kakimbia kuokoa nafsi yake, Monusco kauliwa askari wake na...
Hamna kazi hapo.
Hakuna nchi yeyote ukanda huu anaeweza kukabilisna na Rwanda. Kwa SADC angalau Angola peke ake ndie mwenye afadhali kupiga beto na mnyarwanda. Nje ya SADc ni Ethiopia tu mwenye uwezo huo. Hao wengine ni kelele tu na mbwembwe na tambo za kitoto.
Burundi tayari yuko DRC kitambo...
Nakubaliana na wewe chief. Kagame hatumpendi lakini ana akili sana ya kupigana vita kuliko mtu yeyote Japa Afrika.
Haipendezi kusema ila ukweli uko wazi kwamba jeshi la Rwanda Lina ubora wa hali ya juu kwa kuangalia tu mission wanazoshiriki.
Kwa mgogoro na Rwanda namuona SANDF akidhalilika kwa...
Niliwahi kusema RDF ni jeshi Bora ukanda huu wa Afrika ila watu wasio jua mambo ya medani wakakaza makomwe na mapovu na kunitukana.
Sawa hata kaka m23 wanapewa nguvu hii ya kupigana na majeshi zaidi ya 10 na kuteka maeneo mikononi kwa maadui zake ni dhahiri kuwa hawa RDF ni hatari kuliko...
We utakuwa mwehu tu. Nyie ndio mnao amini katika wazungu kuliko kujiamini wenyewe.
Hao wa liovaa suti hawapigi kura na hawana impact kwenye uchaguzi ila hawa wa chini waliovaa vijora ndio wanamweka rais madarakani. Na hao ndio muhimu.
Ni mwehu Peke anaeweza kuwadharau wanamchi wake na...
We ni maskini pia ila kujifaragua tu.Zaidi ya kumiliki gari za mitumba Gari mpya unaushia kuiona kwa TV tu.
Unaweza kuta wewe ni fukara ila mwenzio maskini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.