Ndugu watanzania wenzangu, kabla ya yote napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kutupa mwaka 2013 wenye mafanikio, amani na neema kwa watanzania. Niwatakie heri ya mwaka mpya 2014 wenye baraka na fanaka kwetu sote.
Mwenyezi Mungu atupe yote tuyatakayo na kuyaomba watanzania
Sikukuu ya Noeli ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwokozi wetu yesu kristo,hii inatukumbusha mambo makuu matatu. Upendo, msamaha na upataniashi unaofanya na bwana yesu kati ya mungu na binadamu na hii inatufundisha kuwapenda na kuwahudumia wale wote wanaoishi katika mazingira magumu, kutoa misamaha...
Sikukuu ya Noeli kama kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwokozi wetu yesu kristo inatukumbusha mambo matatu, Upendo, msamaha na upatanishi anaofanya bwana yesu kati ya mungu na binadamu. Nasi hii inatukumbusha kuwapenda na kuwahudumia wale wote walio kati ya mazingira magumu , kutoa misamaha kwa hali...
Vitabu vitakatifu vimeandika asiye fanya kazi na asile,kutokana na kazi aliyoifanya kwa watanzania kwa miaka kumi ni dhairi anaitaji pongezi kubwa kwa umma wa watanzania hongera Mh Frederick Sumaye
Mh sumaye hajaliibia Taifa hili,utumishi wake na utendaji wake ndio ishara ya kuwa alikuwa na hofu ya mwenyezi mungu juu ya mali za umma angaliweza kujilimbikizia mali katka kipindi chote cha utawala wake lakini hakuwa na sababu ya kuliibia Taifa hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.