cdm mmeanza kuhangaika bt kama umeangalia video utajua ina ukwel, lwakatare ana la kujibu, tuache ushabiki, inaonekana ye mwenyew hakujua kama anarekodiwa, ingetoka kabla ya tukio au baada si swala la kujadili
Mh lwakatare mahakama ndo itaamua una hatia au hauna, bt video nimeiona nakujua ni wewe