Recent content by zumba93

  1. Z

    JamiiForums Tanzania ngeli za kuunga unga ya Zola D kali

    wote tunajifunza, kumuumbua haitosaidia, big up zola d
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare

    cdm mmeanza kuhangaika bt kama umeangalia video utajua ina ukwel, lwakatare ana la kujibu, tuache ushabiki, inaonekana ye mwenyew hakujua kama anarekodiwa, ingetoka kabla ya tukio au baada si swala la kujadili Mh lwakatare mahakama ndo itaamua una hatia au hauna, bt video nimeiona nakujua ni wewe
  3. Z

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, hapa Lwakatare alikuwa anamaanisha nini?

    mwanzo niliona mchezo wa kisiasa but baada ya kuiona video nimekubali, haina editing bw lwakatare alikua anarekodiwa bila kujijua, lwakatare ana la kujibu mahakamani na kwenye chama, aliposema ana urafiki na zitto huyo mwandishi wa habari alimaanisha nini, USHABIKI PEMBENI, UKWELI KWANZA
Back
Top Bottom