Ebu tufafanulie apo Mkuu kwa manufaa yao ya cold War kivipi maana Urusi kama Urusi haijwahi kumkoloni Mwafrika katika kuongeza thamani ya Nchi yake kama ilivyo Uingereza
Na viongozi nguli wa Afrika walikuwa wamelalia kwny sera za Urusi waliuwawa Haile Selassie, Muamar Ghadaffi, Patrick Lumumba, Kwame Nkrumah Marekani wanawachagulia waafrika watu wakushirikiana nao daaah 💔
Ndio maana the late Mwlm Nyerere aliyakata haya ya structure adjustment program (SAP) mikopo ya IMF na WB bado changamoto maana waendeshaji na wenye control ni USA
Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini Reuben Brigety alisema siku ya Alhamisi Tarehe 11 May 2023 kuwa ana uhakika kwamba meli ya Urusi chini ya vikwazo vya Marekani ilichukua silaha kutoka kambi ya Simon's Town mwezi Disemba, akipendekeza uhamisho huo hauendani na msimamo wa Pretoria wa...
Hawa washenzi bado wanalindana tuu🤔, taxpayers watazidi kukimbia Kodi hakuna transparency ya matumizi ya Kodi za maskini. Halafu kinasimama kiwaziri Cha💰 anasema walipakodi active ni watumishi wa Umma ametudharau sana huyu tujadiliane uganga kwelii eti Uchumi unaprofessional waendelee kutudinya
Achana na wazungu washenzi wale ndio maana iliandikwa usijifanyie picha wala masanamu kwa mfanano wa yaliyopo Mbinguni.
Historia inasema Yesu kristu si mzungu bali ni alikuwa ana asili ya Palestina akiwa na nywere nyeusi na skin dark colour, hii inajidhiirisha kwny picha za makanisa ya Orthodox...
Ok sawa vyovyote utakavyoniita nitapokea majina yako, ila lengo langu sio kama naisifia Serikali ya CCM hapana naonyesha mipango yao. Maana CAG kichele, anazidi kuibua mambo uko😂 aliyekuwa IGP Sirro ambaye sasa ni balozi Nchini Zimbabwe anahusishwa na Billions 4.8 za mfuko wa maafa
Ok sawa vyovyote utakavyoniita nitapokea majina yako, ila lengo langu sio kama naisifia Serikali ya CCM hapana naonyesha mipango yao. Maana CAG kichele, anazidi kuibua mambo uko😂 aliyekuwa IGP Sirro ambaye sasa ni balozi Nchini Zimbabwe anahusishwa na Billions 4.8 za mfuko wa maafa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.