Recent content by ZULKANAIN

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Mwizi alipotaka kumuibia mwizi mwenzake ndicho kilichotokea huko China

    Ona akili ya huyu mtu. Out of context
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Sipendi ugaidi wa Iran, ila hiki Trump anataka kufanya leo ni kosa kubwa

    Sioni Marekani akiipiga leo Iran huo vita mzee haiwezi kuamuliwa kwa kushambuliana hivyo..lazima watu wakae mezani ..iran ameshasema maelrekani wakipiga na wao wanapiga sehem za nishati za FCC
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Dunia sasa imeelewa Iran haruhusiwi kuwa na nguvu kashindwa vita ameamua kuumiza wote tukose Kwa kufunga Harmouz Hadi Tanzania wataumia Us Wanayo yao

    Ni nadhani geo politics bado hatujui vizuri . .lini ulisikia Iran and amua nchi jirani? Nan aliyeanza kumvamia mwenzake? Ni kama wewe upo kwako anakuja mtu ana kupiga makofi mbele ya mkeo wewe utakubali? Iran amezungukwa na kambi 26 za Marekani miaka zaidi ya ishirini...nani amemfuata mwenzake...
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ona hii jamaa anavyo ireport kinyonge
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Jamaa mwongo sana huyu, bro unatumia source gani mbona hiyo milipuko mikubwa upo kwa Iran tu...adi useme upo biased ndo unaanza kutoa updates za Iran hahahaha mzee wa milikupo mkuubwaaa
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ivi huyu jamaa wa mlipuko mkubwa anadanganya sana japo zingine ni za kweli.kama kila anachokisema kingekuwa kweli tangu ameanza kutoa taarifa bas Iran sasa hivi ingekuwa ni majibu..huyu ni pro.
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Iran imesema itasitisha ushirikiano wake na IAEA baada ya Umoja wa Mataifa kuzuia uondoaji wa vikwazo

    ... kurudisha SNAPBAC sasa kuhofia kurudishiwa kikwazo wakatambua kuanzisha tena mahusiano chini ya mwamvuli maalum...lakini sasa kwa kuwa baraza la usalama na E 3 wameshafanya uamuzi wa kurudisha kikwazo bas waziri wa mambo ya kigeni wa Iran alisema kuwa wakirudisha kikwazo rasmi wao watajitoa...
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Iran imesema itasitisha ushirikiano wake na IAEA baada ya Umoja wa Mataifa kuzuia uondoaji wa vikwazo

    Mkuu kama unakumbuka Iran kupitia bunge walipitisha muswada wa kuacha ushirikiano wa IAEA lakini baada ya kelele za ku maarifa ya ulaya kutaka kuridiha
Back
Top Bottom