Habari za sahizi wana JF.
Nimekua nikipata maumivu makali sana ya kifua upande wa kushoto nikiwa nameza chakula au kimiminika chochote. Tatizo hilo limeambatana na vichomi hapo hapo kifuani, kwenye mabega, mkono pamoja na mgongo upande huu huu wa kushoto, na ata nikiwa nacheua pia nasikia...
Mkuu, nimelima nyanya mbegu nimetumia Imara F1 kutoka east west seeds company., vipi hii aina ya mbegu sokoni inafanya vizuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.