Nimekua nikipata muwasho kwenye mapaja baada ya kuvua suruali

zukisa

Member
Feb 8, 2017
47
28
Habari za sahizi wana JF na poleni na majukumu ya kutwa nzima leo.

Naombeni msaada katika hili.
Nimekua nikipata muwasho sana kwenye mapaja baada ya kuvua suluari/tight na nikiwa najikuna natokewa na vipele kama vile vya kung’atwa na mbu. Nimetumia dawa aina ya SONADEM lakini naona tatizo bado linaendelea.

Msaada tafadhali


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za sahizi wana JF na poleni na majukumu ya kutwa nzima leo.

Naombeni msaada katika hili.
Nimekua nikipata muwasho sana kwenye mapaja baada ya kuvua suluari/tight na nikiwa najikuna natokewa na vipele kama vile vya kung’atwa na mbu. Nimetumia dawa aina ya SONADEM lakini naona tatizo bado linaendelea.

Msaada tafadhali


Sent using Jamii Forums mobile app

Usivae nguo zinazokubana na usitumie dawa kwanza ukiona bado vinaendelea nenda hospitali
 
Hii itakuwa sawa na wale wanaowashwa wakivaa skin tight, sijui ni mechanism gani hutokea hadi mtu awashwe. Maybe wataalamu watuelezee.
 
Habari za sahizi wana JF na poleni na majukumu ya kutwa nzima leo.

Naombeni msaada katika hili.
Nimekua nikipata muwasho sana kwenye mapaja baada ya kuvua suluari/tight na nikiwa najikuna natokewa na vipele kama vile vya kung’atwa na mbu. Nimetumia dawa aina ya SONADEM lakini naona tatizo bado linaendelea.

Msaada tafadhali


Sent using Jamii Forums mobile app
nitumie picha yako PM ukiwa umevaa suruali
 
Habari za sahizi wana JF na poleni na majukumu ya kutwa nzima leo.

Naombeni msaada katika hili.
Nimekua nikipata muwasho sana kwenye mapaja baada ya kuvua suluari/tight na nikiwa najikuna natokewa na vipele kama vile vya kung’atwa na mbu. Nimetumia dawa aina ya SONADEM lakini naona tatizo bado linaendelea.

Msaada tafadhali


Sent using Jamii Forums mobile app
Uko wapi? Inaonekana haya maradhi yameenea Dar. Watoto wangu walikuwa Dar wamerudi Mwanzoni mwa Dicember, mpaka sasa bado wana muasho
 
Habari za sahizi wana JF na poleni na majukumu ya kutwa nzima leo.

Naombeni msaada katika hili.
Nimekua nikipata muwasho sana kwenye mapaja baada ya kuvua suluari/tight na nikiwa najikuna natokewa na vipele kama vile vya kung’atwa na mbu. Nimetumia dawa aina ya SONADEM lakini naona tatizo bado linaendelea.

Msaada tafadhali


Sent using Jamii Forums mobile app
Unawashwa baada ya kuvua tu? Una amka Usiku kujikuna? Ni kwenye mapaja tu au hata kwenye kiuno hata sehemu ya makalio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jitahidi kubadilisha Nguo za ndani, hakikisha ni kavu kabisa, na nyoosha Nguo za ndani kabla ya kuzivaa.

Pia vaa Nguo za ndani zisizobana hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikivua tu tight ndio najikuna sana, ila nikiacha kujikuna nikaoga muwasho unaisha. Na ni kwenye mapaja tu hapa katikati kwenye msuguano na sio sehemu nyingine Mkuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Basi itakuwa sio scabies. Ugonjwa wa scabies unawasha sana usiku. Unawashwa mpaka unatokea viuvimbe. Na kawaida huo ugonjwa huwasha pale ulipo ingilia.

Labda ujaribu kutumia nguo za cotton ili uone Kama kuna utofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom