Wadau naomba nijulishwe, Nina betri N100,na Sola Watt 150,nimetumia muda wa mwaka mmoja, lakini kwa sasa solar haichaji betri tena, nimejaribu kutoa kwenye system ya connection ili nichaji betri peke yake lakini naona bado haichaji,Natumia taa 3 na kuchaji CM.