Recent content by zuga boy

  1. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha "The 48 Laws of Power" kilichoandikwa na Robert Greene

    Kimejaa madini ya kutosha
  2. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Karibu ujipatie Oppo na Nokia kitochi kwa Bei ya jumla

    Nipo Igunga naihitaji oppo A57
  3. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Natafuta Binti wa kuuza duka la nguo za mitumba

    Kuna ndugu yangu namba zake ni +255684666539
  4. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Ulipo kuna umeme muda huu?

    Igunga chalii
  5. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu hizi nguo nitapata wapi
  6. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Naomba msaada wa chimbo la vitenge
  7. zuga boy

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI SCREEN YA PC AINA YA LENOVO

    Uko mkoa gani boss?
  8. zuga boy

    JamiiForums Tanzania NAHITAJI SCREEN YA PC AINA YA LENOVO

    Wadau naomba kujua mahali nitakapopata scree ya pc
  9. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

    Nashukuru sana kwa msaada wako mkuu, ninacho fikiria ni kutafuta fundi wa kupima volt kutoka kwenye panel maana naona control charge haina tatizo.Maana nimeazima sola nyingine watt 100 ina charge vizuri kabisa.
  10. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

    Sehemu nilipo ni nusi jangwa na jua ni kianzia asubuhi mpaka jioni
  11. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

    Charger control ipo,na taa ya kuonesha panel imeungwa inaonesha na taa ya kuonesha kuwa betri inaingiza chaji inawaka lakini haioneshi kujaa hata ifike jioni,na jua ni kutosha maana nipo katika ukanda wa nusu jangwa
  12. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

    Betri ni dry, ila nikienda kuchaji kwenye sola nyingine ina chaji, yaani ni kwamba moto ni mdogo sana unaotoksa Katika sola,
  13. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Elimu ya bure Kuhusu umeme wa jua

    Wadau naomba nijulishwe, Nina betri N100,na Sola Watt 150,nimetumia muda wa mwaka mmoja, lakini kwa sasa solar haichaji betri tena, nimejaribu kutoa kwenye system ya connection ili nichaji betri peke yake lakini naona bado haichaji,Natumia taa 3 na kuchaji CM.
  14. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Uliza swali lolote kuhusu solar PV and solar pumps

    Nashukuru sana mkuu, kwa hivyo nikichukuwa waya mbili za 2mm itafaa?
  15. zuga boy

    JamiiForums Tanzania Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Kwa hiyo nifanye nn? Maana nimejaribu, kuchaji bila kaunganisha chombo chochote lakini bado,haichaji
Back
Top Bottom