Nashukuru sana kwa msaada wako mkuu, ninacho fikiria ni kutafuta fundi wa kupima volt kutoka kwenye panel maana naona control charge haina tatizo.Maana nimeazima sola nyingine watt 100 ina charge vizuri kabisa.
Charger control ipo,na taa ya kuonesha panel imeungwa inaonesha na taa ya kuonesha kuwa betri inaingiza chaji inawaka lakini haioneshi kujaa hata ifike jioni,na jua ni kutosha maana nipo katika ukanda wa nusu jangwa
Wadau naomba nijulishwe, Nina betri N100,na Sola Watt 150,nimetumia muda wa mwaka mmoja, lakini kwa sasa solar haichaji betri tena, nimejaribu kutoa kwenye system ya connection ili nichaji betri peke yake lakini naona bado haichaji,Natumia taa 3 na kuchaji CM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.