Recent content by zuberi Abraham

  1. zuberi Abraham

    CAG: Lazima tutaifanyia ukaguzi wa kina ATCL

    Heshima kubwa kwako, Professional iliyotukuka na unayoifanyia kazi umeona capabilities za hao staff watatu na unataka kuutilise experience zao kwa manufaa ya taifa
  2. zuberi Abraham

    Updates: Maombi ya kazi Ngorongoro Creater (NCAA)

    Hapo ndio JF ilipofikia na yeye kaona kawin balaa
  3. zuberi Abraham

    Kamati kuu CHADEMA yatoa karipio kali kwa viongozi wake waliomsema Lowassa hadharani

    Bora umwambie wew maana kila saa watu wanawaza siasa
  4. zuberi Abraham

    Saed Kubenea: Kumetengwa Tsh 5 Bilioni Kununua Wapinzani Ushahidi Upo, CCM Mkibisha tunatoa

    Kiuhalisia siasa za nchi yangu nishazichoka kama PCCB wanasema kua ushahidi umeharibiwa na siasa au haujitoshelezi. Tunawaomba muutoe kwetusisi wananchi personal nitauangalia hope na wenine watafanza hivyo, sio hizi kelele za tutatoa sijui nini hazitusaidiee tushaahidiwa sana tumechoka ahadi...
  5. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Hata mimi nakubaliana na wew kua ni exempt till now hadi bill ipite, do you remember hata salary ya Presidaa na mawaziri na wabunge before ilikua exempt hadi presi alivyoshauri ipigwe kodi, so hata nao hii bill kupitishwa itakua kama update. Ingawa mimi na wew hatuipendi coz itapunguza our...
  6. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Mkuu mimi tatizo langu ni hapo mnaposema kuna double taxation. Ambalo kwangu nasema no double taxation ingawa hata mimi sihitaji hii bill ipite coz benefit ya exempt itanisaidia pension yangu isiwe na kodi hata kidogo
  7. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Mkuu au bro ya kuambiwa changanya na yako usipende vya kuambiwa tu mkuu.
  8. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Nilichokataa mimi ni kuitwa double taxation au kwa walivyoandika ni kodi mara 2
  9. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Hua sipendi kumuita muongo mtu, pale ambapo tunabishana kwa hoja namwambia njoo tupate suluhu ama wew au mimi nimekosea. Kwenye calculation ya Pay As You Earn hua inakwenda kwa mtiririko huu.: Basic Salary + Overtime= Gross Salary Contribution to Pension fund by both (Employee and Employer)=...
  10. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Ok. Tuanzie hapo juu unapozungumzia PAYE. Hembu niambie mpaka unapata Pay As You Earn calculation zipoje maana tuanze kwa kuelekezana labda tutajua namna ya kujenga hoja na hawa wana siasa wetu ambao sijui hawajui au wanafanya makusudi??? Maana kwa upande wangu hakuna double taxition hapo.
  11. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Mkuu hiyo mwanzo palikua na non-compliance ya sheria hembu niambie kuna sehemu ambayo unambiwa mtu ana derive income alafu halafu hakatwi kodi??? Kiuhalisia kwa namna kodi ilivyo ingekua ni kwa matakwa yangu nisingelipa ila kwavile ni matakwa ya kisheria we have to comply with it. So ni kusema...
  12. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Mkuu nikuombe ufanye jambo moja kama ni muajiriwa hembu jaribu kupitia salary slip yako na ufanye calculation vizuri na uniambie. Kwamba Contribution to Pension fund ni taxable or not. Yakuambiwa boss changanya na yako
  13. zuberi Abraham

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Duh wanasiasa wanatupotosha sana, na kwenye maswala ya kodi zitto ni muongo sana na anazidi kuwa muongo sijui hajui au anafanya makusudi kupata kiki haya. Hembu tuulizane hapa wanakataje mara 2 tuone kama kuna atakaye kuja na majibu???
  14. zuberi Abraham

    Kwenye hili la Hostel za UDSM, Dr. Magufuli mbunifu usipime.!!

    Nashukuru Mkuu mambo ya Rais wetu si ya kukurupuka kuyajibu maana unaweza ukachutama muda si mrefu mbele za wakwe
Back
Top Bottom