Recent content by zous

  1. zous

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari vya Urusi vinadai Marekani hakuwahi kutua mwezini

    IImani ni kwenye dini SI masuala ya haya. We ujiulizi kma walieza kwenda mwaka 1960 kwann mpk Leo washindwe ani
  2. zous

    JamiiForums Tanzania Anayoyafanya mtoto wa Samia Suluhu yanafikirisha na kuumiza sana

    Umekosea mkuu Kuna makundi mengi yamenufaika na rais na yameona mchango wake Pia kuna makundi ambayo hayajaona mchango wake.wote hatuez kua sawa Mfano Mkulima kapata mbolea ya ruzuku Mazao kafikisha mpk sokoni barabara ikiwa safi tokea eneo lake Sokoni kakuta bei imeongezeka samani..wazani huyu...
  3. zous

    JamiiForums Tanzania Anayoyafanya mtoto wa Samia Suluhu yanafikirisha na kuumiza sana

    Huoni hio biashara ina faida.ndio maendeleo tunataka mpk ya mwananchi mmoja mmoja Kaanza na vipuri saiv kajiendeleza
  4. zous

    JamiiForums Tanzania Je, ni kitu gani ukikisahau nyumbani, hata ukishafika kazini lazima urudi ukakichukue?

    Mwiko na pasi . alafu muwe mnakuja na ndoo zenu za kukorogea zege Sio mnakera kuazima ndoo alaf mnaziaribu
  5. zous

    JamiiForums Tanzania Vazi la mtumishi wa Tume ya Uchaguzi linaongea

    Utoto huo mambo ya kwanin Kwann Hizo rangi tuh mnatoka povu kma mmeonewa Kwa hio angevaa nyeusi usinge hoji
  6. zous

    JamiiForums Tanzania Vazi la mtumishi wa Tume ya Uchaguzi linaongea

    Mkuu ofisi ni yaserikali ya Tanzania Ulitaka picha ya rais wa wPi iekwe hpo?
  7. zous

    JamiiForums Tanzania Vazi la mtumishi wa Tume ya Uchaguzi linaongea

    Sijaona tatizo kwenye izo lebel Na mnaosapoti ebu nielewesheni
  8. zous

    JamiiForums Tanzania Eti Kwamba TANZANIA nayo ina inteligence,kwamba tunavyombo vya ulinzi na usalama vyenye uzalendo kwa Taifa lao! Hebu acheni dhihaka.

    NNyie ni wapuuzi . Hivyo vyombo vya ulinz havifanyi kazi kwa hisia Mnachotaka si rahis Jeshi haliez pindua nchi kwa kua hakuna sababu ya kufanya hivo Hayo matatizo tulio nayo hayajafikia hatua hio mnaotaka kutuaminisha
  9. zous

    JamiiForums Tanzania Anayoyafanya mtoto wa Samia Suluhu yanafikirisha na kuumiza sana

    Unataka aishi kma digi digi kisa mama ake ni rais bhc asitumie ela? Una hakika gani anatumia ela za walipa kodi kwenye starehe Alaf shida haziezi kuisha hata akiacha starehe huyu mtoto unaemuandama
  10. zous

    JamiiForums Tanzania Kura yangu itaenda CCM kwa sababu vyama vya upinzani havina nguvu na mvuto period

    Utafanya nn eb acha utahira Yaani unatutishia amani na kati tuna uhuru wa kuchagua we kenge nn Kma nyie mmechagua kususa ni nyie wenyewe. Mnataka democracy alaf hpo hpo mnalazimisha wote tukatae uchaguz
  11. zous

    JamiiForums Tanzania AMKENI! AMKENI!: Operation Komboa Venrezuela Imeanza

    Maduro Kawa dictator tena 🤨 Nyie watu wenye mahaba na marekani ni washenzi xnaaa
  12. zous

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba

    Nyie c mmesema hampigi kura 😃
  13. zous

    JamiiForums Tanzania NRNE na mazagazaga yake ni mpango wa Mungu. Nani ajuaye kuwa Polepole leo, hatutajua walipo wenzetu waliopotea na yote ya uvunguni?

    Tutafurahi akitaja Ila yule ngojera nyingi hakuna lolote
Back
Top Bottom