Umekosea mkuu
Kuna makundi mengi yamenufaika na rais na yameona mchango wake
Pia kuna makundi ambayo hayajaona mchango wake.wote hatuez kua sawa
Mfano
Mkulima kapata mbolea ya ruzuku
Mazao kafikisha mpk sokoni barabara ikiwa safi tokea eneo lake
Sokoni kakuta bei imeongezeka samani..wazani huyu...
NNyie ni wapuuzi .
Hivyo vyombo vya ulinz havifanyi kazi kwa hisia
Mnachotaka si rahis
Jeshi haliez pindua nchi kwa kua hakuna sababu ya kufanya hivo
Hayo matatizo tulio nayo hayajafikia hatua hio mnaotaka kutuaminisha
Unataka aishi kma digi digi kisa mama ake ni rais bhc asitumie ela?
Una hakika gani anatumia ela za walipa kodi kwenye starehe
Alaf shida haziezi kuisha hata akiacha starehe huyu mtoto unaemuandama
Utafanya nn eb acha utahira
Yaani unatutishia amani na kati tuna uhuru wa kuchagua we kenge nn
Kma nyie mmechagua kususa ni nyie wenyewe.
Mnataka democracy alaf hpo hpo mnalazimisha wote tukatae uchaguz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.