Hili la Mo sio kwamba it was widely believed our very own wasiojulikana walihusika so kusema walikua wanaongea kizulu ilikua ni njia ya kupoteza watu maboya?
Hata hivyo hao jamaa Guptas hawakukulia kwenye ubaguzi wa South coz walihamia ukingoni kabisa wa apartheid 1993.
Labda useme we have our...
Angekua na uhakika 'nina uhakika' isingehitajika, angemtuhumu tu jamaa moja kwa moja kwa kumwambukiza.
Hapo anataka kumwangushia jamaa jumba bovu, ndio maana 'ulikua unachelewa kurudi nyumbani' ikawepo pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.