Recent content by zorewa

  1. Z

    Naweza Vipi Ku-deal na Mwanamke Mwenye Kiburi cha Pesa na Tabia ya Ubinafsi?

    Ni dhahiri kwako hatahitaji pesa, hizo anazo. Ila kuna kitu hana au anacho kwa uchache, ambacho atahitaji toka kwako. Masculine energy. Kwa ufupi sana be a man, stay grounded. Usikubali pesa zake zikakufanya u submit kwake, ukaacha principles zako, mitazamo yako. Utakua wa tofauti kwake...
  2. Z

    Leo baada ya kumuona classmate mwenye miaka 35 anapush LC 300 na anaingiza tarakimu 9 kila mwezi, nimehisi wivu wa maendeleo

    Hujachelewa, huo ndio mwanzo wa kujua kwanini wewe upo hapo na yeye yupo pale.
  3. Z

    Evil among us

    You deserve to be in that organisation, kingsman the secret service.
  4. Z

    Evil among us

    Mmebarikiwa kuongeza mwanafamilia mpya hivi karibuni, hongereni! Mama na mwanafamilia mpya wamepumzishwa sakafu ya juu kabisa ya mahali hapo, wodi mahususi. Sorry, hayo unayajua. Usilolijua ni kwamba mama ni mdau wa 'njugu' kwa muda sasa na anafanya 'everything' usijue, ikiwemo kuwaasa...
  5. Z

    Kuna muda mtu akiniuliza “ntaoa lini?” Kichwani kwangu naona ni sawa na mtu anayeniuliza "Ntapoteza furaha yangu lini?"

    Mkuu shida ni 0ne D au ni maudhi yasababishwayo na mmiliki wa hiyo 0ne D yako?
  6. Z

    Uchaguzi Mkuu Jamhuri ya Kongo: Mtandao wa Intaneti wazimwa!

    Imekua trend sasa Africa, bara la giza.
  7. Z

    Bora kuwa single!

    Hawezi kuajiri mtu kwa ajili ya shughuli kama hzo?
  8. Z

    Siku hizi hatutongozi tena wanawake… tunawapa tu “idea” tu!

    Tumeamua ku-adopt new effective method, yaani nguvu kidogo matokeo makubwa. Tumeachana na mambo ya msuli tembo matokeo sisimizi. Hata wao wameikubali, ukiwa mchana mistari wanakuona wakuja tu 😊
  9. Z

    Hivi huyu mwanamke ni mke wa mtu kweli wakuu?

    Si nyie wenyewe mnasema hamuuzi ila hamtoi bure pia 🤭
  10. Z

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Hapo maana yake ni kwamba usikae mbali na unapofanyia kazi. Sio kibaruani kwako bunju halafu wewe unavimba zako kigamboni ☺️
  11. Z

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Isije ikawa Marekani na Israel wapo mbele ya muda kwenye hili! Kwamba walianza kuichonganisha serikali na wananchi kupitia maandamano wakijua kabisa wakilianzisha wataungwa mkono na wananchi.
  12. Z

    My Confession: Nilivyohudumia Mimba iliyokuwa na Baba 5 pasipo Kujuana

    Mtu anazidi kuchafukwa huku 😇 Jibu basi mbona swali ni jepesi na linaeleweka kabisa. Kwanini unachafukwa nafsi ukiona mikeka ya 'babu' inaelekea kutiki?😊
  13. Z

    My Confession: Nilivyohudumia Mimba iliyokuwa na Baba 5 pasipo Kujuana

    Sawa ndio hupendi ila si ujibu swali sasa! Kwanini ukiona mikeka ya 'babu' inaelekea kutiki unachafukwa nafsi?☺️
  14. Z

    My Confession: Nilivyohudumia Mimba iliyokuwa na Baba 5 pasipo Kujuana

    Sasa mbona unachafukwa nafsi kuona mikeka ya 'babu' inaelekea kutiki?🤭
Back
Top Bottom