Recent content by zorewa

  1. Z

    JamiiForums Tanzania ID zenu nyingine tunazijua

    Kwamba awe na title kubwa ilhali hana hekima, busara, maturity na real life experiences that come with it. Waja they will eat him/her alive 🤗
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Tetesi: WanaCCM amkeni tupambane na state capture ya Wicknell Chivayo na Genge lake kwani ndio wanayeongoza Tanzania kwa sasa, Raisi ni Kivuli tu.

    Hili la Mo sio kwamba it was widely believed our very own wasiojulikana walihusika so kusema walikua wanaongea kizulu ilikua ni njia ya kupoteza watu maboya? Hata hivyo hao jamaa Guptas hawakukulia kwenye ubaguzi wa South coz walihamia ukingoni kabisa wa apartheid 1993. Labda useme we have our...
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Tetesi: WanaCCM amkeni tupambane na state capture ya Wicknell Chivayo na Genge lake kwani ndio wanayeongoza Tanzania kwa sasa, Raisi ni Kivuli tu.

    Mkuu hao Gupta mbona walishakimbia hawapo tena South tokea puppet wao Zuma afurushwe!
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenye fedha, kipato kikubwa, kipato kidogo, wana uhakika wa kupata sex ila sio love

    Subiri kuambiwa jukumu la kupenda sio la mwanamke 🤗
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kijana wa mjini asiye na pesa katika zama hizi kumiliki mwanamke mzuri

    Hadi akupende si tunaambiwa lazima uwe na hela?😇
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Basi la Abood lagongana na IST wakati dereva 'aki-overtake', Watu wanne wafariki Dunia

    😄😄 Akiwa mbele yako ni mateso kivipi?
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    😊 Vipi kwa upande wake una uhakika ukihitaji hachomoi?
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    Vipi utaratibu wa mawasiliano, matumizi na mahitaji kwa watoto?
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Hii meseji hii, inasikitisha sana

    Angekua na uhakika 'nina uhakika' isingehitajika, angemtuhumu tu jamaa moja kwa moja kwa kumwambukiza. Hapo anataka kumwangushia jamaa jumba bovu, ndio maana 'ulikua unachelewa kurudi nyumbani' ikawepo pia.
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Hii meseji hii, inasikitisha sana

    Mume mpuuzi sana, anaruhusu vipi mke kupigwa na malaya mbele yake.
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    Hivi bank wanapokea dhamana ya mali ambayo haina jina la muhusika?
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    😄 Practically hiyo double chance inakuaje kwenye ndoa?
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Dr. Nchimbi amejiuzulu mwenyewe kuokoa mafao yake.

    Walikua wanaenda kulifanikishaje hili la kumuondoa?
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mambo yanazidi kuwa mambo! Hata Baraza la Mawaziri kuvunjwa kuunda jingine!

    Mbona hili la barua alilisema na kweli imekua!
Back
Top Bottom