Recent content by zorewa

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Akiamua kuigawa ataigawa tu, hata ikibidi maiko ndio aifuate nyumbani kwako.
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Hii misingi itakuwa effective kuishikilia ndoa kama pande zote 2 zitaishi humu. Ila bahati mbaya hii sio misingi kwa wanawake wengi kuingia ndoani.
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    😄 Wenzetu upande wa pili wamekua wakilipractice hili miaka na miaka, ni wasaa sasa na sisi tufumbue macho na tuyaone mambo kwa uhalisia wake.
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Mwamba alikua anaaminika sana Saul, kila chuma mpya ikija lazima ipite mikononi mwake kwanza ndio kina tito, idd machele na wengine wafuate. Steve yuko wapi siku hizi?
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Tumeona wanawake wengi wakitusua kwa njia hii, why not na sisi tusifollow a winning formula?🤗
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Lakini nje ya hapo ni maslahi yao kwanza logic baadae.
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Na nyie mnavyojiattach kwa madoni huwa mnatuwaza na sisi wa papatupapatu?😇
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Siku hizi matuta, tochi kila sehemu, wanapangiwa muda wa kufika sehemu husika ndio maana, tofauti na zamani ilikua fungulia mbwa.
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Tito Gadau, mwamba yupo kampuni ipi now?
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Unaweza linda afya yako kwa wivu mkubwa lakini ukaletewa matatizo ya afya na mkeo kwa uzembe mkubwa.
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Pole kwa kuondokewa na mke mkuu.
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Team kataa ndoa kama wako sawa hivi

    Kwahiyo upo tayari kuendeleza familia hata kama ukijua mkeo sio muaminifu?
Back
Top Bottom