Recent content by zmalima

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Uwindaji haramu Tanzania: Ni nani yupo nyuma ya waarabu hawa?

    Nchi yetu ni kama imekosa mwenyewe vile. Hivi kweli hawa wapumbavu unaweza kwenda kwao ukafanya haya wanayoyafanya kwetu? Nafikiri kwa kitendo cha Maghembe kuwapa tena reseni ya uwandaji hawa jamaa inabidi tu mamlaka iliyomteua imtumbue, hakuna namna nyingine hapo.
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

    Kuna Mtu anaongelea mambo ya 3G na 4G ambazo bandari za wenzetu zinalenga kuanzisha na hivyo kama nimemuelewa vizuri anasema tutashindwa kuingia katika ushindani na bandari za wenzetu. Swali langu ni Je, bandari za Dar, Tanga na Mtwara haziwezi kuboreshwa na kuingizwa hiyo mifumo ya 3G na 4G...
  3. Z

    JamiiForums Tanzania ACT-Wazalendo wafunika Iringa Mjini. Zitto Ampongeza Filikunjombe, Msigwa bado

    Zitto is a dead meat! hata yeye hajitambui anataka nini na anaelekea wapi? Nacheka sana eti Abwao apambane na Msigwa, ni kama kuchukua timu ya TOTO AFRICA ishindane na "MAN U". Na mtu yeyote mwenye akili timamu na anayeitakia mema nchi hii anapaswa kumuogopa zitto kama ukoma.
  4. Z

    JamiiForums Tanzania CHADEMA waita Wahariri - Jumanne, 28 Julai 2015

    Makene tumekusoma kwa uzuri sana, wacha tusubiri muda tuone nguvu ya umma inavyoenda kubadiri upepo.
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Makao makuu CUF: Ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya ushiriki wao UKAWA

    Kwa hali inavyoendelea ndani ya UKAWA tusishangae sana kusikia kuwa CUF imejimega na kuungana na "ACT-Wazalendo" ingawa neno wazalendo linanipa shida bado, uzalendo gani wakati kiongozi wa juu ni ndumila kuwili hasa akipewa pesa? anyway, hiyo sio issue leo. Issue ni kwamba pamoja na kwamba Prof...
  6. Z

    JamiiForums Tanzania GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Nampongeza sana huyu jamaa anayejiita dubu, kafanya kazi kubwa sana ya kuleta update humu jamvini. Shukrani sana mkuu naona hukulala ili utujuze yalokuwa yakijiri huko Dodoma.
  7. Z

    JamiiForums Tanzania CCM wametoa ratiba ya vikao kwa siku ya leo tarehe 10 Julai, 2015

    CCM macho yako shingoni, hakuna mwenye amani kuanzia raisi anayemaliza muda wake hadi waliotangaza nia, wapambe wao mpaka wanachama wa kawaida. Haijawahi kutokea hii tangu Uhuru. Mwisho wa yote lazima mwaka huu kieleweke tu. Mungu linusuru taifa letu lisiangukie mikononi mwa walanguzi na mbwa...
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Tuangalie CV za Wenyevitii wa vyama vikuu vya siasa nchini

    These CV's are insufficient and and nonsense! How comes you have a full and detailed CV of just one chairpersons and very narrow CV of the rest. If you can't get a detailed CV off the candidates, why are you posting them?
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Angalizo kwa Rais Kikwete: Lazaro Nyalandu asiwemo kwenye orodha mpya ya Mawaziri

    Naungana moja kwa moja na Makoye 2009. Hivi kwa nini kwa nini kwa muda mrefu sana hatukuwahi kumuona Nyarandu akifanya hayo yote anayojifanya ana uwezo wa kuyafanya sasa. Tangu Mawaziri wanne wang'olewe Nyarandu amejitahidi kwa nguvu zake zote kujionesha kupitia vyombo vya habari kwamba yeye ni...
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    Umesomeka kiongozi, report yako inaaminika zaidi, keep us updated
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere College Inahujumiwa!

    :yo::yo: Watajwe tu kwa majina maana huo ni ufedhuri wa hali ya juu kwa watu kama walimu ambao wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa. Please Mizizi anika majina yao hadharani.
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Siasa za Mwigulu Nchemba

    Nimesoma katika gazeti la Mwananchi leo, nikajikuta nasistushwa sana na kauli ya Mwigulu Nchemba, kwamba watumishi wengi wa umma wanatumia muda mwingi kazini kushabikia siasa hasa vyama vya upinzani badala ya kufanya kazi, na hivyo kukwamisha utekelezaji wa ilani ya CCM. Na anaonya kuwa...
Back
Top Bottom